Zawadi hizi zirudishwe?

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Jul 27, 2008
3,173
481
Watu wengi tu wanapokuwa na wapenzi huwapa zawadi mbalimbali wapenzi wao. Inategemea mtu ana uwezo gani. Wengine wamekuwa wakitoa zawadi kama TV, Radio, Music system, Sofa, Gari, Kiwanja na hata nyumba hii ama ni kupalilia penzi ama in return for wonderful love they had together. Uhusiano ukivunjika, kwa namna yoyote ile, Je, Ni halali kurudisha hii ama hizi zawadi?
Have a lovely weekend.
 
When you're in love you never really know whether your elation comes from the qualities of the one you love, or if it attributes them to her or him; whether the light which surrounds her or him like a halo comes from you, or from the meeting of your sparks.
You give out everything you have and not expecting it back!
 
Unapotoa zawadi unatoa kwa utashi na mapenzi yako mwenyewe...wala unakuwa wazo la kurudishiwa vitu hivyo baada ya penzi kwisha...halipo...

Na kwa kuwa uko na mpenzi wako wakati huo anakufurahisha....na wewe unafurahi...unaamua kumnunulia vitu hivyo...mara kwa mara huwa umeona hana au una mpa kama zawadi...kama alikuwa na TV ndogo basi unampa kubwa...yote ni mapenzi...

Na hana mtu mwingine na wewe unaona...so haina haja kudai mali hizo kwa kuwa ulitoka wakati ukiwa na raha na unafurahia kuwepo kwake..ndio maana ukatoa.Ukianza kudai mambo hayo ndio mwanzo wa kuumia sana...na hutakuwa na penzi la kweli kwa kuwa unatoa vitu ili upendwe....starehe gharama.
 
Kwa nini mwanaume ndo iwa anaumia sana kugharamia mizawadi hiyo?
Usipo gharamia au kuumia basi kipepeo kinaruka kinaenda kutua sehemu nyingine.
Ni kweli mwanaume anafaidi penzi kuliko mwanamke?Kama ndo hivyo kwa nini mwanaume kama hanyoshi mkono basi na penzi linakufa.
 
Kwa nini mwanaume ndo iwa anaumia sana kugharamia mizawadi hiyo?
Usipo gharamia au kuumia basi kipepeo kinaruka kinaenda kutua sehemu nyingine.
Ni kweli mwanaume anafaidi penzi kuliko mwanamke?Kama ndo hivyo kwa nini mwanaume kama hanyoshi mkono basi na penzi linakufa.

Hata Wanawake wanahonga ndugu yangu. Tena ni wabaya sana wakigundua kuwa unajaribu kumbackbite. Watakumalizia mbali. Halafu hawana subra. Sorry na wengi wao ni wake za watu. Upo?
 
Its true some women/gals will lure men into only giving and sometimes without chungulia net. They use it as a bait that is to say. For men with brains a first time they know this lady is a gold digger they quit.

Utasikia tu siku hizi mbona huji na nini! Kamba imekatika. Na ukimpa chance nyingine atabadili strategy hapo uta-confirm she is a gold digger. Kwa akili ya kiume ni kwamba wanapenda walau consistency ili ku-confirm jambo. Kama linajirudia lile lile they get used of it. Ila likibadilika-badilika ni hatari sana kwa mwanaume kulielewa jambo hilo. Men are creatures of consistency as GOD WHO CREATED him and not metarmorphic like women. It is a long hi-story to narrate but if christian go and read book of genesis of the Holy Bible and see how even the satan saw the opportunity only in woman.

So to write here kuna wanawake wengi wanatumia vibaya nafasi au fursa ya giving and taking in relationships. They take 99.9999% and giving the rest of the remained portion in percentage. Hata outings tu kama pia wameoana utakuta bado mume tu ndio hu-clear bills kwa sana na hasa ukizingatia wote wanafanya kazi. When it comes into finance they say its a right for men to overcome the life costs, and when it comes to getting more opportunities they say haki ya wanawake. How one can get opportunity free of charge, is it oxygen that you freely breath from the air; besides there is cost as well your lungs and energy spent to suck it from the air and it does not come free of charge. Mfano viti vya upendeleo bungeni n.k. We need we as women to be subjected to equal competitive opportunities as men ili tupate akili na busara zaidi. Otherwise wanaume watendelea kuishi nasi kwa akili hadi kiama.

Conclusively: I think women are less behind men in civilization and wisdom and most are inconsiderate. Lets agree this!
 
Mtu anayedai kurudishiwa zawadi ama haelewi maana ya zawadii, au ana roho ya choyo tu kwamba "kwa kuwa huko na mimi basi usiweze kuwa na vyote nilivyokuzawadia.Kwa mfano tuchukulie mwanamme mwenye uwezo mkubwa aliyekuwa akimnunulia mwanamke zawadi na baada ya kuachana anadai zawadi alizotoa, mwenzake naye akianza kumpigia mahesabu vitumbua vyote ulivyobugia pamoja na vitu vingine vidogo vidogo lakini vingi (kumsaidia kufua, kupika etc etc) ambavyo vinaweza kusajiliwa kama aina ya zawadi inayotokana na upendo,ataweza kuvilipia?

Isipokuwa pale ambapo watu wameandikishiana, au kukubaliana kwa namna nyingine kwa ushahidi unaoeleweka, zawadi, kama "kinachoenda kwa mganga", hairudi.

Na anayetaka kurudishiwa zawadi ana gubu na choyo.Kama unajua kwamba zawadi hii nataka kumpa mpenzi wangu, lakini tukiachana nitaitaka, usimpe.
 
Last edited:
Its true some women/gals will lure men into only giving and sometimes without chungulia net. They use it as a bait that is to say. For men with brains a first time they know this lady is a gold digger they quit.

Utasikia tu siku hizi mbona huji na nini! Kamba imekatika. Na ukimpa chance nyingine atabadili strategy hapo uta-confirm she is a gold digger. Kwa akili ya kiume ni kwamba wanapenda walau consistency ili ku-confirm jambo. Kama linajirudia lile lile they get used of it. Ila likibadilika-badilika ni hatari sana kwa mwanaume kulielewa jambo hilo. Men are creatures of consistency as GOD WHO CREATED him and not metarmorphic like women. It is a long hi-story to narrate but if christian go and read book of genesis of the Holy Bible and see how even the satan saw the opportunity only in woman.

So to write here kuna wanawake wengi wanatumia vibaya nafasi au fursa ya giving and taking in relationships. They take 99.9999% and giving the rest of the remained portion in percentage. Hata outings tu kama pia wameoana utakuta bado mume tu ndio hu-clear bills kwa sana na hasa ukizingatia wote wanafanya kazi. When it comes into finance they say its a right for men to overcome the life costs, and when it comes to getting more opportunities they say haki ya wanawake. How one can get opportunity free of charge, is it oxygen that you freely breath from the air; besides there is cost as well your lungs and energy spent to suck it from the air and it does not come free of charge. Mfano viti vya upendeleo bungeni n.k. We need we as women to be subjected to equal competitive opportunities as men ili tupate akili na busara zaidi. Otherwise wanaume watendelea kuishi nasi kwa akili hadi kiama.

Conclusively: I think women are less behind men in civilization and wisdom and most are inconsiderate. Lets agree this!

Mshiiri,

I don't agree totally with your summation. It's not fair to generalize. Not all women/gals are gold diggers and do actually pay the bill and even take their man out.
But then when the woman shows that kind of thoughtfulness the man feels belittled, issues regarding respect start to crop up.
Most men want to be respected and highly esteemed, and to be looked upon, as responsible hence the various gifts that the men will bestow on their partners. So giving of gifts ultimately rests on the guy, however this does not mean that women should not reciprocate. I believe that women should also buy gifts for their men as a sign of appreciation for the love and gifts.

Every body enjoys getting a gift. Gifts are always meaningful for the giver and the receiver.
I think it's tacky to expect ones gifts back when the romance is over.

Most important is that, when you first meet someone it wise to gauge their disposition...if they are self absorbed/selfish/self centered i would suggest for one to run like the devil is on your heels...These type of people always wait to recieve.
 
hani wale wanaodai "zawadi" zirudi ni wale wenye wivu
kwamba sasa njemba nyingine ataburudika nazo. ushauri kwa
watu wa namna hii ni bora watoe zawadi zinazotumika na
kwisha sio zinazodumu.

lol waweza jinyonga kumnunulia mrembo motokaa kisha mkiachana
unaona motokaa kakabidhiwa njemba nyingine inayovinjari na madame lol
 
Kwanza alikuomba wakati unatoa????

hilo ndo swala ndugu yangu!

labda iwe kwamba mliandikishiana mkataba kuwa 'penzi likifa' basi mrudishiane zawadi, vinginevyo zawadi ni zawadi na huwezi kuidaa baadaye
 
hani wale wanaodai "zawadi" zirudi ni wale wenye wivu
kwamba sasa njemba nyingine ataburudika nazo. ushauri kwa
watu wa namna hii ni bora watoe zawadi zinazotumika na
kwisha sio zinazodumu.

lol waweza jinyonga kumnunulia mrembo motokaa kisha mkiachana
unaona motokaa kakabidhiwa njemba nyingine inayovinjari na madame lol

Nilisoma kwenye gazeti moja kama si ijumaa ni Kiu. Kuna msanii mmoja alisema "Nilitoa Penzi nikahongwa gari". Kisa jamaa aliona gari likiendeshwa na jamaa mmoja huko mikoani, Wacha jamaa alikimbize gari na mapolisi, oooh gari yangu imeibiwa. Kuja kugundulika ukweli jamaa kaingia mitini, Ha hahaaaaa. Mambo ya Celebrities hayo! lol
 
hilo ndo swala ndugu yangu!

labda iwe kwamba mliandikishiana mkataba kuwa 'penzi likifa' basi mrudishiane zawadi, vinginevyo zawadi ni zawadi na huwezi kuidaa baadaye

Kama mkataba ni kurudishiana zawadi, basi hata zile zilizobakia ndani ya.... nazo achukue asiache,,,, ooops! sorry
 
Mshiiri,

I don't agree totally with your summation. It's not fair to generalize. Not all women/gals are gold diggers and do actually pay the bill and even take their man out.
But then when the woman shows that kind of thoughtfulness the man feels belittled, issues regarding respect start to crop up.
Most men want to be respected and highly esteemed, and to be looked upon, as responsible hence the various gifts that the men will bestow on their partners. So giving of gifts ultimately rests on the guy, however this does not mean that women should not reciprocate. I believe that women should also buy gifts for their men as a sign of appreciation for the love and gifts.

Every body enjoys getting a gift. Gifts are always meaningful for the giver and the receiver.
I think it's tacky to expect ones gifts back when the romance is over.

Most important is that, when you first meet someone it wise to gauge their disposition...if they are self absorbed/selfish/self centered i would suggest for one to run like the devil is on your heels...These type of people always wait to recieve.


Thanks Nyaralego I agree with you totally BUT do not please misquote as I started my summation with a phrase It is true some women/galz.

Once again thanks for being so reasonable and if you are a sex female you are true woman. Cheers
 
Watu wengi tu wanapokuwa na wapenzi huwapa zawadi mbalimbali wapenzi wao. Inategemea mtu ana uwezo gani. Wengine wamekuwa wakitoa zawadi kama TV, Radio, Music system, Sofa, Gari, Kiwanja na hata nyumba hii ama ni kupalilia penzi ama in return for wonderful love they had together. Uhusiano ukivunjika, kwa namna yoyote ile, Je, Ni halali kurudisha hii ama hizi zawadi?
Have a lovely weekend.


Kwa misingi halali ya kutoa zawadi,uhusiano unapovunjika huwezi kurudisha zawadi hizo.Yule aliyetoa zawadi kama atazidai hakuwa na upendo wakweli he/she was after something else.
 
Thanks Nyaralego I agree with you totally BUT do not please misquote as I started my summation with a phrase It is true some women/galz.

Once again thanks for being so reasonable and if you are a sex female you are true woman. Cheers

It was not my intention to misquote you. I just wanted it to be clear that not all women are Gold diggers. It is a shame though, how some women carry on their love affairs-based on the $$, it is comparable to Pros..... Pardon my analogy!!! It is rather scary!!

On the other hand i believe that the men have made the women what they are...In this game of romance the men lead, they set the pace...they show off by giving zawadis and the women expect no less. Then it becomes an issue.

Anyway what i know is that when one genuinely loves some one they will alwasy bring little tokens of love-gifts. Be it the man or the woman.
 
hilo ndo swala ndugu yangu!

labda iwe kwamba mliandikishiana mkataba kuwa 'penzi likifa' basi mrudishiane zawadi, vinginevyo zawadi ni zawadi na huwezi kuidaa baadaye


Kabisa mkuu maana maswali mengine yanaweza kujibiwa na watoto wa nursery swali kama hili.......
 
Kama mkataba ni kurudishiana zawadi, basi hata zile zilizobakia ndani ya.... nazo achukue asiache,,,, ooops! sorry



Kwanza wakati unatoa nlipeana risiti???Kama ulitoa ukasema unampa zawadi sasa hayo ni yako ila wewe ulitoa ili upate mbunye sasa kama ulitoa ukasema ni zawadi alafu mbunye hajakupa sasa hapo wewe mwachie tu maana sisi wanaume tunajijua wenyewe huwa tunapenda kutoa bila kuomba ilie mbunye ilainike ssa mkuuu wewe kaza nae buti mpaka akupe hiyo ndogo au sio....Pamoja
 
If there is anything I hate is for people to buy love using gifts and presents, and this strategy is very common among men. It can be difficult to differentiate gifts given out of love and those used for buying love. My advice on this is:
1. Never receive presents from someone whom you know is interested while you are not;
2. Never ever ask for present(s) from someone whom you know is interested ;
3. Never ever ask for present(s) you have already given somebody - huo ni ushamba mkubwa sana.
 
Mh!!! Mi nionavyo kwa waswahili wengi haya mambo ya zawadi huwa kama kifungamanisho fulani katika mahusiano ya watu, kwa maana kuwa kama jamaa anampatia zawadi demu wake anaamini kuwa hiyo inamfunga mwanamke kuwa naye ikitokea demu akabadilika kwa sababu moja au nyingine wengi hukimbilia kuchua zawadi zao.Nimewahi kushuhudia jamaa akikusanya zawadi alizompa demu wake sofa, TV na simu ya mkononi hii pia hutokea hata kwa baadhi ya akina dada wanaotoa zawadi kwa wapenzi wao inapotokea kutofautiana hukimbilia kuchukua zawadi zao kwa kisingizio kuwa hawezi kukubali kuona mtu aliyemghalimikia anatumia zawadi hizo na mtu mwingine...

So yawezekana watu hawaelewei nini maana ya zawadi kwa mpenzi...wanatakiwa kupewa darasa!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom