Unakosea unaposema matakwa ya kiislam. Je matakwa ya kiislam ni kufunga tu? Je wametakiwa kwenda msikitini kwenda Makkah n.k?Wewe umefunga.... Mwenzio anakula inakuuma nini...?? Hivi hawa ndugu zetu kama wana wakristo wanaishi nao watawaruhusu kula kweli? Au ndio ukiajiliwa au kuishi na muislam lazima ufate matakwa yake ya kidini...