4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,979
- 6,782
Wageni ni wageni ,Watanganyika Kwa Zanzibar pia ni wageni,Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Afya wa serikali ya Mapinduzi , Mh Nassoro Mazrui , lengo ni kudhibiti maambukizi ya wimbi la tatu
Bado haijafahamika kama wageni kutoka Tanganyika nao watahusishwa au la .
Chanzo : ITV
View attachment 1827101
Aisee yesu njoo katiba ije, alisikika bibi mmoja Arusha, tuna muungano wa ajabu mno, katiba ,katiba