Kahorogoma
JF-Expert Member
- May 13, 2013
- 318
- 252
Naomba kujua je mtu ukichanjwa uambukizwi au kuambukiza corona?
Hivi WHO wanafanya kazi na JMT au SMZ?🤒Katika huu muungano kuna mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Masuala ya afya si Jambo la muungano.
Kuna haja mashuleni kuanzia shule ya msingi kuwepo mada rasmi juu ya huu muungano.
tumia na badala ya auHivi WHO wanafanya kazi na JMT au SMZ?🤒