Zanzibar kesho itapata uhuru wake

Zanzibar kesho itapata uhuru wake

Eti wanadai Zanzibar huru? Hilo nalo linahitaji mkutano? Kwanini mjisumbue kuidai? Pelekeni tu hoja binafsi bungeni, kamati itaundwa kukusanya maoni ya watu then kila mtu anachukua hamsini zake. Kwanini mnataka kutupotezea muda kujadili hata hili, lisilo na miguu wala kichwa? Sisi wenyewe tunaiona Zanzibar ni mzigo mkubwa kwa watanganyika. Ni bora tu ijiondoe tena haraka iwezekanavyo, ili na sisi tupumue sasa.
 
Mkuu bora sisi tunashindia urojo tunakuwa watu wenye kujali ubinaadamu kuliko wewe unaeshindia Sembe kisha ubinaadamu huujui ulivo na hata matumizi ya akili huwa magumu kwako kama sembe lenyewe. Nikuulize, kwani Bakhresa zile juice, ice cream na unga anaupeleka zanzibar mnunuzi ni mtanganyika kule? Halafu akili za sembe kweli ni za kisembe sembe, products za Bakhresa zipo Kenya, kwanini zilifika hadi kenya na wala hatuna muumgano nao? Tumia akili babaaa!!!
Kisha mkuu mpemba anaemiliki kiosk anamaendeleo kuliko mtanganyika anaemiliki kiosk, mpemba atashughulikia familia, lakini mtanganyika ni kiweka heahima bar ndio 1st priority. Then kaeni mkijua kuwa wazanzibar wapo sehemu nyingi tu duniani, na hatuna muungano na nchi izo, sasa sijui akili zenu zinawatuma mufikirie vipi kuwa wazanzibari watatimuliwa Tanganyika! Lolz

Mnajidanganya mkijitenga mtapata misada kutoka Arabuni n akil ndogo sana.
 
Waliberali wanataka kuuvunja muungano..

ahahahahhh usiku usipite vichochoro vya maeneo ya Malindi au mji Mkongwe, kila mlango kuna dume linakubania pua, nenda mbioooo, mliberali huyo
 
Mkuu bora sisi tunashindia urojo tunakuwa watu wenye kujali ubinaadamu kuliko wewe unaeshindia Sembe kisha ubinaadamu huujui ulivo na hata matumizi ya akili huwa magumu kwako kama sembe lenyewe. Nikuulize, kwani Bakhresa zile juice, ice cream na unga anaupeleka zanzibar mnunuzi ni mtanganyika kule? Halafu akili za sembe kweli ni za kisembe sembe, products za Bakhresa zipo Kenya, kwanini zilifika hadi kenya na wala hatuna muumgano nao? Tumia akili babaaa!!!
Kisha mkuu mpemba anaemiliki kiosk anamaendeleo kuliko mtanganyika anaemiliki kiosk, mpemba atashughulikia familia, lakini mtanganyika ni kiweka heahima bar ndio 1st priority. Then kaeni mkijua kuwa wazanzibar wapo sehemu nyingi tu duniani, na hatuna muungano na nchi izo, sasa sijui akili zenu zinawatuma mufikirie vipi kuwa wazanzibari watatimuliwa Tanganyika! Lolz

kelele nyingi wakati apo zanzibar umeme tu umewashinda, kazi kuendekeza ulibelali kutwa .m miondoke na ugaidi wenu nyie
 
Dahh!afadhali leo kuwa umekiri kumbe z'br sio nchi huru,kuna wenzako watanganyika hawataki kuiona z'br inatoka kwenye makucha ya mkoloni mweusi.

Hivi ule mradi wa Majeshi tiifu kwa Rais wa Zenji enzi hizo Amani Karume kugawa silaha kwa Raia ili kama vipi liwalo na liwe limeishia wapi? vijana mitaani waliambiwa na mpaka leo wanasuburi silaha za fedha za ZRB, ilioishia kufadhili usafiri wa wahudhuriaji wa mikutano na mihadhara ya Uamsho
 
Ndio maana maliasili zote tanganyika mnawaachia weupe waondoke nazo.
weeee Bara sio kwenu ambako ukiwa na kajirangi keupe basi hata foleni hukai, unawapita watu halafu eti "waarabu hao" mnapigwa kilaini ndugu zetu
 
Mnafanya nini huko kila siku tu wewe ni mgeni BinMgeni mnatukanwa, mnachomewa vibanda vyenu, leo wanfuta kiuongo Ndoa za jinsia moja CHOMOKA HUKO KM HUJAOLEWA wenzako Kimataifa wanajulikana km Waliberali waachie visiwa vyao kwani haya mwaka hawatamaliza watatengana tena Waunguja na Wapemba,
waHizbu na WaAfroShiraz mwishowe itarudi yaleyale PUNDA HAPANDI MUSCAT

duuu niwewe kweli, leo umeungana chadema kuwatusi wenzi wenu kafu ambao ni walibelali
 
Last edited by a moderator:
mkimaliza mkutano wenu muandae na tangazo kabisa kwa wapemba wote waliopo bara wafungashe virago.hakika me naawambia mkivunja muungano hawa jamaa nawatangaza maadui zangu na popote nikiwakuta nawazingua.hatuwataki muondoke

hatuondoki mana hamkutumwa na mtu kuja kuungana na sisi. kiherehere, njaa chuki na utapeli wa nyerere ndo ulokufkisheni apo. na ce hatuondoki ngo
 
hatuondoki mana hamkutumwa na mtu kuja kuungana na sisi. kiherehere, njaa chuki na utapeli wa nyerere ndo ulokufkisheni apo. na ce hatuondoki ngo
wewe kweli huwezi kuelewa mtego, maana yake mjitangazie uhuru ili mkaliwe kimabavu, kwa nini kila siku matusi na kelele, semeni sisi sio Tanzania tena
 
kuna taarifa nimezipata kuwa kesho jumamosi tarehe 1 mwezi wa 6 2013 . Kunafanyika mkutano mkubwa sanaaa, utakao ongozwa na mzee nassoro moyo, maalim seif, rais mstafuu abeid amani karume, himid mansoor na wanazi wengine wa kundi linaloidai zanzibar huru.
Ajenda kuu ni kuidai zanzibar na muungano wa mkataba.
Habari toka chanzo cha kuaminika taarifa za mkutano huo ni mdomo kwa mdomo si jui mnalijua hilo.
Hapo kwenye nyekundu ni dude gani hilo? Hatulitaki, basi!
 
Kwanini iwe nongwa kwa wazenji kudai haki yao,pitieni histry japo kidogo kujua tanzania ni muungano wa nchi ngpi?au hili jina tanganyika linakutieni kichefuchefu?ZANZIBAR DAIMA.

Tanganyika +Zanzibar{Unguja +Pemba}=TANZANIA.
 
bora iwe kweli.
wazenji ni mzigo wa taifa letu,
wabakie wenyewe huenda akili ikawajia
 
Zenji huwalimi na kama kuna shamba ni bustani tu chakula,umeme,vinatoka Tanganyika vyote .Wao pato la Taifa ni utalii na karafuu tu huku Tanganyika kuna madini,mbuga za wanyama,mazao ya biashara,rasilimari kibao tofauti na Zenji Kwa kifupi Tz bara ni Nchi tajiri endapo Zanzibar watajitenga Tz bara itasonga kimaendeleo kwani fungu la kuwalisha zenji litabakia Tz bara na kuimarisha uchumi wake .jimbo la Ubunge ZNZ ukubwa wake ni sawa na Eneo analotawala m/kiti Wa kitongoji TZ bara hivyo Wabunge wa Bara wanatawala majimbo makubwa na ndio maana wabunge wa bara huzungumza point tofauti na wa Zenji Cha Ajabu wabunge wa bara hawaingii ktk vikao vya bunge la wakilishi lakini wabunge wa zenji huingia dodoma mjengoni na kupata posho huku kwao pia wanachua posho hivyo huvuna posho mara mbili wanawanyonya watanganyika ktk wigo mpana misaada ikija bara tunagawana nao.lakini misaada ikienda zenji hawagawi kwa watanganyika.maana yake ni kwamba chao ni chao na cha Tz bara ni cha wote kumbuka zenji wana Bendera yao hadi wimbo wa Taifa wao . Nini suluhisho? Dawa na tiba ni kuunda muungano kama wa Marekani tu ZNZ atawale Gavana na Tz Bara atawale Gavana kisha Rais anakuwa mmoja tu ahamie Dodoma Kwa makazi ya kudumu hakika yote ya ajabu yatakwisha itabaki historia
 
Back
Top Bottom