Zanzibar kesho itapata uhuru wake

Zanzibar kesho itapata uhuru wake

Mnatulisha, yaani hizi point zenu mnachekesha nyie. Wapemba mnaotaka kuwafukuza wamekupeni Ajira Kkoo, wamekujengeeni mji, wamekufundisheni ustaarabu na usafi. Wapemba wanahela mjini wewe mwenyeo unawalilia wale. Msisahau kumuondoa na Bakhresa,mtazidi kujambajamba. Zanzibar tulikuwa tunaimport vitu from india na bei ilikuwa cheeeee kuliko tunavonunua bara, kisha mnasema mbatulisha. Mnauwezo wa kutulisha? Matumbo yenu yanawashinda apo mlipo. Mnatulisha nini hasa? Mnatupa bure? Gari ikitoka Zanzibar kuja dar ilipiwe ushuru dar kuja zanzibar hamudaiwi ushuru kisha eti mnatusaidia ah, mnavituko sana . Wakati wapemba ndio wanakusaidieni na hasa apo kkoo, angalau mnapata hela ya kula kwa siku vyenginevyo mngejaa barabarani mkiomba omba!

kwani tanganyika kwako ni kariakoo tu??
Acha kuchekesha watu wapemba mnaishi maisha ya shuda sana hapa tanganyika mpo uswahilini tu kwenye kijumba kimoja mnajazana 50, mtu anakioski tu cha kuuzia unga,mchele,pilipili, tangawizi anawake8 wanashindia ugali na dagaa,. Aa nyie wazanzibar ni shida tupu hyo baresa wenu akiamia huko atamuzia nani hayo maaskrim yake na mavyakula yake ya mangwea wakati nyie mmezoea kushindia ulojo,.
 
mkimaliza mkutano wenu muandae na tangazo kabisa kwa wapemba wote waliopo bara wafungashe virago.hakika me naawambia mkivunja muungano hawa jamaa nawatangaza maadui zangu na popote nikiwakuta nawazingua.hatuwataki muondoke

Kwani wapemba ndio wanaokulisha mpaka wawe maadui zako kwa kuvunjika muungano?
 
Kwanini iwe nongwa kwa wazenji kudai haki yao,pitieni histry japo kidogo kujua tanzania ni muungano wa nchi ngpi?au hili jina tanganyika linakutieni kichefuchefu?ZANZIBAR DAIMA.
 
Wasichojua waZenji ni kuwa adui wao ni CCM! Once CCM is out watapata nchi yao
 
Kwanini iwe nongwa kwa wazenji kudai haki yao,pitieni histry japo kidogo kujua tanzania ni muungano wa nchi ngpi?au hili jina tanganyika linakutieni kichefuchefu?ZANZIBAR DAIMA.

aah wapi shida ni unafiki wenu! Kikwazo ni CCM lakini hamjaitoa. Si hatuna cha kupoteza
 
mkimaliza mkutano wenu muandae na tangazo kabisa kwa wapemba wote waliopo bara wafungashe virago.hakika me naawambia mkivunja muungano hawa jamaa nawatangaza maadui zangu na popote nikiwakuta nawazingua.hatuwataki muondoke

Why?? Mbona wachina wapo na hadi wanaiba mchanga wa dhahabu lori kumi! Mi nataka kila nchi iwe kivyao
 
Mnatulisha, yaani hizi point zenu mnachekesha nyie. Wapemba mnaotaka kuwafukuza wamekupeni Ajira Kkoo, wamekujengeeni mji, wamekufundisheni ustaarabu na usafi. Wapemba wanahela mjini wewe mwenyeo unawalilia wale. Msisahau kumuondoa na Bakhresa,mtazidi kujambajamba. Zanzibar tulikuwa tunaimport vitu from india na bei ilikuwa cheeeee kuliko tunavonunua bara, kisha mnasema mbatulisha. Mnauwezo wa kutulisha? Matumbo yenu yanawashinda apo mlipo. Mnatulisha nini hasa? Mnatupa bure? Gari ikitoka Zanzibar kuja dar ilipiwe ushuru dar kuja zanzibar hamudaiwi ushuru kisha eti mnatusaidia ah, mnavituko sana . Wakati wapemba ndio wanakusaidieni na hasa apo kkoo, angalau mnapata hela ya kula kwa siku vyenginevyo mngejaa barabarani mkiomba omba!

acha unafiki wewe!
 
mkimaliza mkutano wenu muandae na tangazo kabisa kwa wapemba wote waliopo bara wafungashe virago.hakika me naawambia mkivunja muungano hawa jamaa nawatangaza maadui zangu na popote nikiwakuta nawazingua.hatuwataki muondoke
Sawa kabisa waondoke,huyo Nasoro moyo ana nyumba amejenga Tanga,alipokuwa waziri,kila mara aja Tanga na familia yake kupumzika,ahame Tanga,Tanga ni Tanganyika si zanzibar.
 
Lekebisha siyo Abeid Amani karume ni Amani Abeid karume. Kama na mimi nimekosea mnikosoe

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mnatulisha, yaani hizi point zenu mnachekesha nyie. Wapemba mnaotaka kuwafukuza wamekupeni Ajira Kkoo, wamekujengeeni mji, wamekufundisheni ustaarabu na usafi. Wapemba wanahela mjini wewe mwenyeo unawalilia wale. Msisahau kumuondoa na Bakhresa,mtazidi kujambajamba. Zanzibar tulikuwa tunaimport vitu from india na bei ilikuwa cheeeee kuliko tunavonunua bara, kisha mnasema mbatulisha. Mnauwezo wa kutulisha? Matumbo yenu yanawashinda apo mlipo. Mnatulisha nini hasa? Mnatupa bure? Gari ikitoka Zanzibar kuja dar ilipiwe ushuru dar kuja zanzibar hamudaiwi ushuru kisha eti mnatusaidia ah, mnavituko sana . Wakati wapemba ndio wanakusaidieni na hasa apo kkoo, angalau mnapata hela ya kula kwa siku vyenginevyo mngejaa barabarani mkiomba omba!
Wapemba gani wenye biashara za maana,biashara zote ziko mikononi mwetu Wa Tanganyika,nyinyi rudini kwenu,umkalime karafuu,mume humtaki,kuondoka huondoki,ondokeni,mtuachie Tanganyika huru.
 
Baada ya hapo , pemba nayo itadai uhuru wake..!!! Ila sitapenda kuendelea kujadili sana hili.. nasubiri nione kama ni kweli.. isije kuwa ni speculation tuu..!!
 
kwani tanganyika kwako ni kariakoo tu??
Acha kuchekesha watu wapemba mnaishi maisha ya shuda sana hapa tanganyika mpo uswahilini tu kwenye kijumba kimoja mnajazana 50, mtu anakioski tu cha kuuzia unga,mchele,pilipili, tangawizi anawake8 wanashindia ugali na dagaa,. Aa nyie wazanzibar ni shida tupu hyo baresa wenu akiamia huko atamuzia nani hayo maaskrim yake na mavyakula yake ya mangwea wakati nyie mmezoea kushindia ulojo,.

Mimi nimekutolea mfano wakukuonesha jinsi tunawaweka mjini watu kama nyie mlotoka vijijini.
 
Back
Top Bottom