mkimaliza mkutano wenu muandae na tangazo kabisa kwa wapemba wote waliopo bara wafungashe virago.hakika me naawambia mkivunja muungano hawa jamaa nawatangaza maadui zangu na popote nikiwakuta nawazingua.hatuwataki muondoke
Sawa kabisa waondoke,huyo Nasoro moyo ana nyumba amejenga Tanga,alipokuwa waziri,kila mara aja Tanga na familia yake kupumzika,ahame Tanga,Tanga ni Tanganyika si zanzibar.
Kama ww ni Mtanga na nyika chagua kati ya nchi hizi jirani ni ipi iungane na Tanganyika baada ya Zanzibar kufanikiwa kutoka katika makucha ya mkoloni mweus Tanganyika.
Tanganyika+Kenya= Tankennia
Tanganyika+Uganda= Tanugania
Tanganyika+Burundi= Tanburnia
Tanganyika+Rwanda= Tanrwania
Tanganyika+Congo= Tanconnia
Tanganyika+Malawi= Tanmalnia
Tanganyika+Mozambique= Tanmoznia
Mnatulisha, yaani hizi point zenu mnachekesha nyie. Wapemba mnaotaka kuwafukuza wamekupeni Ajira Kkoo, wamekujengeeni mji, wamekufundisheni ustaarabu na usafi. Wapemba wanahela mjini wewe mwenyeo unawalilia wale. Msisahau kumuondoa na Bakhresa,mtazidi kujambajamba. Zanzibar tulikuwa tunaimport vitu from india na bei ilikuwa cheeeee kuliko tunavonunua bara, kisha mnasema mbatulisha. Mnauwezo wa kutulisha? Matumbo yenu yanawashinda apo mlipo. Mnatulisha nini hasa? Mnatupa bure? Gari ikitoka Zanzibar kuja dar ilipiwe ushuru dar kuja zanzibar hamudaiwi ushuru kisha eti mnatusaidia ah, mnavituko sana . Wakati wapemba ndio wanakusaidieni na hasa apo kkoo, angalau mnapata hela ya kula kwa siku vyenginevyo mngejaa barabarani mkiomba omba!
Kama ww ni Mtanga na nyika chagua kati ya nchi hizi jirani ni ipi iungane na Tanganyika baada ya Zanzibar kufanikiwa kutoka katika makucha ya mkoloni mweus Tanganyika.
Tanganyika+Kenya= Tankennia
Tanganyika+Uganda= Tanugania
Tanganyika+Burundi= Tanburnia
Tanganyika+Rwanda= Tanrwania
Tanganyika+Congo= Tanconnia
Tanganyika+Malawi= Tanmalnia
Tanganyika+Mozambique= Tanmoznia
Umeona eeee kwenye ukweli nasema na ninachukizwa na vitendo vya kishoga na Udini kwani ni ubaguzi wa hali ya juuduuu niwewe kweli, leo umeungana chadema kuwatusi wenzi wenu kafu ambao ni walibelali