Zanzibar kesho itapata uhuru wake

Zanzibar kesho itapata uhuru wake

Kwanini wanajichosha hawa watu kama wanaitaka nchi yao si waichukue na wapemba waendelee kuwa marafiki zetu hatakama tunatoka nchi mbili tofauti tutawapa uhuru wakuishi tanzania na kufanya biashara na wa tz tuna wapenda sana wazanzibar na hongereni kwa harakati zenu
 
hatuondoki mana hamkutumwa na mtu kuja kuungana na sisi. kiherehere, njaa chuki na utapeli wa nyerere ndo ulokufkisheni apo. na ce hatuondoki ngo

Hamuondoki?, tutwaondoa kwa nguvu, kwa lazima, au kwa bakora mtaondoka tu.
 
Any updates wakuu!Wameshajitangazia uhuru? Halafu Shein Amesharudi kutoka China?
 
Yakheeeeeeee kuambiwa maliberali basiiiiii mnajitega nendeninnnnnnnnnnnn mtuachie bakhiresa tu maana.
 
daini uhuru haraka kila nchi ijitegemee. tunawaunga mkono. ila kama munafanya harakati bila vitendo tutawaomba polisi c.c.m wawapige fimbo mpaka mkimbilie mombasa mkawe wakimbizi. suala ni uamuzi kwamba munataka zanzibar kamili na sio porojo za kila siku za seif zisizoisha. na karume aache unafiki kwani baba yake walikubaliana na nyerere
 
Mnatulisha, yaani hizi point zenu mnachekesha nyie. Wapemba mnaotaka kuwafukuza wamekupeni Ajira Kkoo, wamekujengeeni mji, wamekufundisheni ustaarabu na usafi. Wapemba wanahela mjini wewe mwenyeo unawalilia wale. Msisahau kumuondoa na Bakhresa,mtazidi kujambajamba. Zanzibar tulikuwa tunaimport vitu from india na bei ilikuwa cheeeee kuliko tunavonunua bara, kisha mnasema mbatulisha. Mnauwezo wa kutulisha? Matumbo yenu yanawashinda apo mlipo. Mnatulisha nini hasa? Mnatupa bure? Gari ikitoka Zanzibar kuja dar ilipiwe ushuru dar kuja zanzibar hamudaiwi ushuru kisha eti mnatusaidia ah, mnavituko sana . Wakati wapemba ndio wanakusaidieni na hasa apo kkoo, angalau mnapata hela ya kula kwa siku vyenginevyo mngejaa barabarani mkiomba omba!

mbwea mkubwa uoooni kabisa ukweli wa mambo. Au uröjõ umekudumaza kiakili. Mkimbizi mkubwa we
 
Mpaka muda huu uhuru bado tu? Mbona tuliambiwa ni leo au walikuwa wanamaanisha lile gazeti la CCM?

Wakija kuusoma mchezo wa Maalim Seif itakuwa too late, hivi kwanini wasijiulize, huyu seif anayeongoza kuipigania Zanzibar ijitenge ndiyo huyo majuzi tu kapewa kitambulisho cha Utanzania, kwa nini hakukikataa?
 
Muungano wa nchi ya Tanganyika na mkoa wa Zanzibar

wewe ata hujijuwi ulipo wala chochote upo upo tu Kama Wenje, uko tayari kuuza utu wako ukamkane babako mahakamani kama si babaako, Ndivyo mulivyo Tanganyika akili zenu sa samaki munaona aibu na ujinga kusimama kudai nchi yenu ya Tanganyika iliyo na kiti chake UN., mupo upside down..,
 
Nyie na uamsho wenu tumewachoka ilo ni kusanyko la wanaCUF si wazanzabar mnataka kuanzisha mahakama ya kadhi na IOC Sio....maalim seif mfadhili wa uamsho nazan ndiye aliandaa ajenda kwa kushrkiana na mwkt wa uamsho nataman mkapa angekuwa madarakan awanyooshe.........................msisahau na urojo
 
afadhali wamejitenga ngoja turudishe jina letu zuri Tanganyika, zanzibar wamepinda sana
 
Watanganyika munaona aibu kuidai nch yenu ya tanganyika. Ndo maana inawauma kuona wana zanzibar kudai nch yao.
 
Nonda, Barubaru, Nguruvi3, GHIBUU, Foum Jnr

..nitawaheshimu kama watakusanya vitambulisho vya uraia wa Tanzania na kuvikabidhi bandarini D'Salaam.


JokaKuu,

nafikiri huku ni kujidhallilisha.

Kumbuka kuwa tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Nje ya muungano hakuna Tanzania bali kuna Tanganyika na Zanzibar.

sasa labda utudadavulie vitambulisho hivyo vya tanzania wavirudishe kwa nani? Kumbuka kuwa WaZanzibar wanaweza kurudisha na wakabakiwa na vile vyao vya UZANZIBARI. Je WATANGANYIKA wakirudisha hivyo vitambulisho vya UTANZANIA watabakiwa na nini?

Au wewe una mawazo na unaamini kuwa Tanzania ndio Tanganyika? Umepitwa na wakti.

Pole sana


Nonda, Barubaru, Nguruvi3, GHIBUU, Foum Jnr, mwanakijiji, nguruvi3, mag3,yericko nyerere,
 
akaombe oman si ndio nchi yao rafki marekan hawajui zanzbar pia asisahau kuwaweka uamsho kwenye cabnet ....huyu maalim ashukuru mkapa kastaafu angemtandka balaa naski na katume baada ya kunymwa umakamu wa rais wa Tanzania kama alivyoaidiwa na JK Kabla ya wazee wa ccm kushaur bilal apewe kutokana na ushawshi wake ndan ya ccm zanzbar na amananaunga mkono uamsho waende arabun ndio nchi rafk yao
 
munaona aibu na ujinga kusimama kudai nchi yenu ya Tanganyika iliyo na kiti chake UN., mupo upside down..,
mbona mapofu?
kinakuuma nini.
Sisi nchi yetu ni Tanzania.
Mkadai mkoa wa Zanzibar uwe na kiti UN .....kama siku hizi UN wanatambua mikoa anyaway.
 
mrelbattawy
Anzaga kujikansel kuwa Zanzibar ni mkoa.
Tena wenye wilaya mbili...
  1. Pemba na
  2. Unguja
iyo ndoto yenu ya kujiita "inchi" haina mda mrefu inatoweka.
 
Last edited by a moderator:
Mnajidanganya mkijitenga mtapata misada kutoka Arabuni n akil ndogo sana.

Akili ya form 3 na Akili ya form 4 havifanani! Wabara wanajenga heshima bar lakini still wameendelea na wamejenga hapa hapa bara hata wapemba wenye maduka Bara wamejenga bara hawataki kuludi zenji Pia hata wazenji waliopo sehemu zingine Duniani hawafiki idadi ya wazenji wa Bara na wakijitenga Tz bara utapata pato jipya la taifa kwa kuwatoza Ada ya Vibali vya kuishi Tanganyika vibali vya biashara nk kwa taarifa yenu muungano ukivunjika itakula kwa wazenji bara ipo full ktk sekta zote na haitegemei mwarabu kuja kuilea
 
Back
Top Bottom