Mdini ni wewe unayeangalia mambo kwa jicho la udini.
Iyo hapo Mkuu
zantel nafikiri iliundwa kwaajili ya zanzibar (zanzibar tele....)hivyo usitegemee kitu kingine. kitu cha kufurah ni kwamba, huku bara hawajaenea sana, hawana wateja sana, wala z-pesa yao haina wateja, na ni watu wachache wanaitumia. kwa bara ukileta udini tu, wateja wako watakuwa wa dini yako tu, sisi wengine hatuigusi. nilkuwa na moderm yao, line yako lakini nilishatupa kitambo mno. nimehangaika na voda kidogo ina faida kwenye mpesa, tigo pia, nafurahi kwenye halotel, internet wako vizuri. so zantel hata sijui kama bado ina exist kwasasa, na hainihusu.
Poa mkuu.asnte mana umenisaidia kumpa jibu nililokua nalo kichwani...ukishaangalia jambo kwa jicho la udini maana ake wewe element hzo unazo na ni tabia yako kujudge judge mambo kidini dini.
mwalim alipolala atakua anaumia sana kwa haya yanayoendelea kwa taifa aliloliacha
Ndy maana hakuna soko bara wadini
Katika kuwatakia wateja wake salamu za sikukuu kampuni hii ya simu mara kadhaa inashindwa kuwatakia wateja wake walio tofauti na dini ya KIISLAM heri ya sikukuu.
Sikukuu watakazoweza kuzitaja na kuwatakia heri ni zile za dini ya kiislam tu tena kwa kuzitaja na majina. Kama vile HAPPY MAULID, EID EL FITR, EID EL HAJJ na kadhalika.
Sikukuu zisizo za kiislam kama vile PASAKA, KRISMAS, MWAKA MPYA N.K hushindwa "kabisa" kuzitaja ktk pongezi na salamu za sikukuu na kuishia kusema "sikukuu"
UDINI NI KITU KIBAYA
TUNAWAONYA.....
https://www.facebook.com/ZantelTanz...90739.220980507942064/694411233932320/?type=3
https://www.facebook.com/ZantelTanz...3308.220980507942064/1103754759664630/?type=3
https://www.facebook.com/ZantelTanz...0980507942064/511384942234951/?type=3&theater
kumbe kuna wabongo wanatumia zantel??? me nkajua ni wapemba tu.
Tunamshukuru Rais wetu mtukufu kukataza kadi za xmas maofisi ya serikali, wewe unadhangaa zantel, lakini ulikuwa hushangai serikalini, hushangai CRDB Bank, ila zantel ungefanya utafiti kwanza halafu ukaleta upuuzi wako! Udini haukubaliki !
Ndy maana hakuna soko bara wadini
Ndio maana hawana wateja
Ndio maana hawana wateja mafala wale