Ramlis
JF-Expert Member
- Aug 22, 2013
- 612
- 536
Nimeanza kununua mb15 kwa shilingi mia tano voda, airtel shilingi elfu mbili unapata mb400. Hiyo ni mwaka 2010 enzi hizo file kubwa mtandao ni mb700 na kulidownload hata wiki inaweza kuisha.Nyie wazee wa 2010,vkwamba 3GB kwa pesa yote hiyo? Au sijalewa mlichoandika