Yani leo nimeshangaa sana kadri navoendelea kusoma hzi post za watu nimeshangaa sana sikutegemea kweli watu mgetuoa majibu kama haya
kweli!!? mbona mnaleta siasa hapa.. mtu kauliza swali mnaaza kum judge mara kumwambia aache hichi afanye vile.. mara ndo maana hatuendelei
kweli unajua kipi kinachorudisha nyuma we unadhani hivi tunavocrashiana tunasonga mbele hivi tunavokaa bila kuthubutu kwl? Nyie mnasema
kuchakachua ndo tunakijua.. vitu vingapi vinachakachuliwa na bado tunadanganyika kiulani tuu.. unadhi hizi mitandao ya simu wanacheza fair
hawa? Tena wanatuibia haswa kila siku zinasongwa plan ya jinsi yakututeka kutuibia hela nakuturick na sie tunaona kama ni sawa tuu..
natunadanganyika kweli.. sasa kama system zao zakizembe kwanini zisiwe hacked.. tena hii inasaidia coz ndo watajirekebisha na hivi ndo
tunasonga.. tena mtu mpaka anafanikiwa kuhack apo ndo anaogezea ujuzi wa kitu leo ana hack kesho anajenga kitu chenye maendeleo haswa we
unadhani wenzetu wanakaa kwa kusemana tu na siasa dialy sisizo na msingi? apa ni jukwaa la Technology bwana hivi vitu ndo vyanzo vya
kelemishana.. mtu anauliza swali watu mnaanza siasa zenu nakumponda mpaka apo naona comments kibao nyingi ni za siasa na porojo ambazo
hamna msingi.. yani hii kitu kinakera sana na mara nyingi hutokea humu.. ata siku moja usijione unajua na wewe ndo unamwambia mtu kipi ni
wrong au rite au unamwambia achane na hiyo kitu..kwanza mwenyewe unahakika kuwa uko rite?.. Samahani sana kama nimewakwaza watu lakini
ebu tubadilikeni bwana.. na pia mwache siasa humu.. Mkuu mwanzsha thread usikonde mwana kitu kinawezekana na sio tetesi na free kabisa...apa
naanda maelezo fresh then nakutumia pm ya maelezo tosha jinsi inavyowezekana kuhack na pia uzembe ni wapi.