Just MIND GAMES aiming at deverting attent from other matters.....Kuna taarifa zimenistusha sana,zinarushwa kwa mtindo wa onyo hasa kwenye mtandao wa heshima...Twitter kuwa kuna mtu anaitwa Zangira ambae katumwa kuwashughulikia kimafia akina Lema na wenzake uko ughaibuni walipokimbilia kunusuru kesho yao.
Huyu mtu ni nani hasa na katumwa na nani?
Je 'muuaji' Zangira atafanikiwa au ameshashindwa kabla baada ya taarifa zake kujulikana?
Intelijensia ya magharibi itakubali uchafu ufanyike kwenye ardhi yao?
Je kuna wasiokubaliana na namna mambo yanavyoendeshwa na wameamua kuwa wavujishaji siri?
My take:
Kama yasemwayo ni kweli basi tumefika mahali pabaya sana na mh.Rais inabidi asimame imara sasa kusafisha uchafu huu unaofanywa na wachache na wasiojulikana vizuri bado. Kama ni kweli,Zangira adhibitiwe uko uko ili liwe fundisho kwa akina Zangira wengine.
Unamuuliza kwani yeye ndiye mwenye jukumu la kumlinda Tundu Lisu?
Unaniuliza kwani yeye ndiye mwenye jukumu la kufanya upelelezi na uchunguzi?
Mkuu embu jaribu kutumia Akili yako vizuri.
Unauliza maswali Kama mtoto bhana
Ok, kumbuka pia tunayemzungumzia sio mtu binafsi bali kiongozi wachama, chama ambacho ni taasisi yenye wings tofauti tofauti, wing ya masuala ya usalama na wing ya mambo ya nje...Hizo wings zimechukua hatua gani kuishinikiza Serikali?.... juu ya haki ya mhusika?..
Umekuja kutetea kwa nguvu sana. Magufuli alipoamrisha Lissu apigwe risasi alikuwa na madhara gani? Idiot!nani alimpiga risasi?...
Ukisoma vizuri kutokea juu utaelewa kwanini nimemuuliza hilo swali....
Hatua zilishachukuliwa.... by karma... kwa mhusika mkuu kutangulizwa akhera.Chadema wafungue kesi wapi?? Mahakama za Tanzania, ni jambo ambalo haiwezekani!
Kimataifa,kuna utaratibu wake,mfano Magufuli hawezi pandishwa the Hague, sababu hajaleta mass destruction kwa watu wake! Angeuwa watu wengi,The Hague wangetoa warranty wakumdaka!
Naomba nikupe mfano,hivi ukisema nitakuonyesha Mimi ni nani,halafu kesho napata matatizo au nakufa,ni nani atakua mtu wa kwanza kua suspected??
Unajua Magufuli aliwahi sema,watu wanaopingana nae hua wanauwawa?? The same day,Lissu akapigwa risasi,tena mchana kweupe pee! 17.09.2017 hadi 17.03.2021! Opaga sana hizi tarehe,it's not just a collusion,ni kuonyesha kwamba Mwenyezi Mungu ana nguvu kuliko mtu yoyote!
Nasisitiza tumia akili vizuri unapojadili mambo haya.
Lisu ni mwanachama lakini pia nimuajiriwa wa CHADEMA.
CHADEMA au CCM au chama chochote hakina wajibu wa kulinda usalama wa wanachama wake,
Jukumu hilo linabebwa na Serikali kupitia vyombo vyake vya Dola Kama Polisi.
Polisi ambao ni chombo cha serikali moja ya majukumu yake ni kulinda usalama wa Raia na Mali zao. Polisi wanalipwa mishahara Kwa kazi hiyo, na serikali inachukua Kodi Kwa Raia Kwa ajili ya kuweza kuwalinda na kuwapa Huduma zinginezo.
Lisu ni Raia wa Tanzania Kama ulivyo wewe na Mimi.
Serikali ilishindwa kumlinda akapigwa RISASI licha ya kuripoti mara kadhaa kuhusu vitisho vya kudhuriwa,
Nikiwatetea Polisi na serikali, ni ngumu Kwa serikali au polisi kulinda mtu mmoja mmoja huenda ndio maana Uhalifu unaweza kumtokea yeyote.
Sawa, Uhalifu umeshatokea, Lisu kapigwa RISASI,
Mwenye jukumu la kufanya uchunguzi na upelelezi ni serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama.
Kumbuka ni jukumu na wajibu wa serikali, sio mpaka mtu aende kuomba, uchunguzi ufanyike na waliofanya wakamatwe sheria ifuate Mkondo wake.
Sasa wewe unaleta mambo ya CHADEMA sijui viongozi, sijui blah! Blah! Hujui hata wajibu wa serikali na hii inamaanisha hujui hata wajibu wako
Hiyo Serikali unayotaka ifanye hivyo ndio imeshindwa sasa kufanya hivyo , tukae sasa tukunje mikono na kuibembeleza ifanye?..
Wenyewe huwa tunaita CCM mkoloni mweusi, sasa unataka mkoloni mweusi tena akulinde...Fuatilia harakati za Tanu dhidi ya ukoloni au harakati za ANC dhidi ya Kaburu... hivi vyama vilikuwa structured kiasi cha kupambana na mkoloni kila angle...
It was the same comment when some assassins were reported to tail Lissu's vehicle...Just MIND GAMES aiming at deverting attent from other matters.....
Umekuja kutetea kwa nguvu sana. Magufuli alipoamrisha Lissu apigwe risasi alikuwa na madhara gani? Idiot!
Hivyo unajaribu kuwashawishi CHADEMA, au Lisu, ndugu za Lisu, wafuasi WA Lisu au Wale wote waluotendewa ukatili wachukue sheria mkononi?
Au je unajaribu kuchochea uhaini au mapinduzi Kwa serikali?
Ikitokea kweli jee?View attachment 1984524
Nadhani huu ni uzushi,hakuna sababu ya kufanya hivyo
Hatua zilishachukuliwa.... by karma... kwa mhusika mkuu kutangulizwa akhera.
Chadema si walitaka uchunguzi kutoka nje ya Tanzânia serikali ilikataaa kwasababu wanajua madhambi walioyafanya juu ya Lissu.Kwa nilivyokusoma hapo kuna mtu umemtaja kama suspect number moja hapi tumaliza kwa kusema bado ni tuhumu mpaka itakapogundulika ni kweli ametenda na hatua zikachukuliwa..
Hivi unaniambia hakuna namna nyingine ya TL kupata haki yake tofauti na ICC? hivi CDM na TL wakaomba jumuiya za kimataifa msaada wa haki yake kwa either kuishinikiza serikali ya Tanzania ifanye uchunguzi huru au vyombo vya nje vije kufanya uchunguzi huru...
Hivi unaniambia CDM kupitia wing yao ya usalama kwa siri wanashindwaje kutafuta msaada wa majasusi waliobobea independe kuja kuchunguza na kukusanya ushahidi then wafungue charge hapa na kokote kule kudai haki yao..
Unaanzaje kumshinikiza mtu unayemtuhumu kukufanyizia ndio afanye uchunguzi wa tukio na kukamata wahusika..?
Ina maana duniani hapa hakuna njia za kufuata kimataifa haki ikapatikana na wahusika wakaenda kwenye mikono ya sheria?..
Hayo unayosema yanaweza kuwa option pia kama njia zote zimeshindwa, ni nani alishawahi hata kuandamana kwenda ubalozi wowote au popote kudai justice for TL?... mbona tunaonaga maandamano kudai vitu vingine na sio hili?
unauliza maswali ya kitoto,wewe ni mtoto?nani alimpiga risasi?...
Lema amekiambia madeni ya Benki Arudi aje alipeSinema hizi, unafikiri unaweza kuua kirahisi mkimbizi wa kisiasa Canada na Belgium?...
Impact ya Lema na TL kwa nchi ni ipi kiasi cha nchi kuharibu image yake?.... kuna wakati zinatafutwa attention tu...
Waripoti hizo taarifa kwa mamlaka za nchi walizopo halafu uone moto wake...ukiona wameishia twitani tu ujue ni zile zile sinema tu..
Mm zamani Nilikua najua ni bla bla lakini Lisu alivyopigwa masasi yote yale mchana kweupe naamini Haya mambo sio ya kuchukulia poa...usisahau hawa jamaa wana familia kama wewe...Hata wewe usingependa maisha yako yahatarishwe..Tuwe na hekima maisha yetu duniani ni ya mudaSinema hizi, unafikiri unaweza kuua kirahisi mkimbizi wa kisiasa Canada na Belgium?...
Impact ya Lema na TL kwa nchi ni ipi kiasi cha nchi kuharibu image yake?.... kuna wakati zinatafutwa attention tu...
Waripoti hizo taarifa kwa mamlaka za nchi walizopo halafu uone moto wake...ukiona wameishia twitani tu ujue ni zile zile sinema tu..