samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,181
Hatuhitaji hata Elimu ya Cert kujua nani walimpiga risasi Tundu Lissu! Kwa kifupi ni Serikali ya Awamu ya Tano,chini ya Marehemu John Pombe Joseph Magufuli!
Bila shaka kupitia uchunguzi wako wa kitalaam ulioufanya ndio umepelekea kubaini hivyo..
Tuambie sasa, TL na chama CDM wamechukua hatua gani za kisheria local and international ilo haki ipatikane na wahusika wakamatwe au uchunguzi huru ufanyike....wapi wamefungu kesi dhidi ya ushahidi walionao...
Sifurahii TL kupigwa risasi, lakini sitaki kuingia kwenye ushabiki wa kisiasa unaoweza kutoa hukumu zisizo za haki...