zamani tulikuwa tuna kaa mkekani lakini siku hizi tunakaa ktk dinning table! zamani tulikuwa tunalala nyumba za nyasi lakini siku hizi tunalala nyumba za vigae! Huko ndiko kwenda na wakati, wewe kalaga baho tuu!!!
Zaman mtu akikaa vibaya hata underskirt ikaonekana, mwanaume wanafunga macho wasiangalie.. Ila siku hizi kama hautapigwa finger sijui! Zamani rahaa kweli na ustaarabu ulikuwa kipaumbele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.