Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Siyo hela yakeKama hela ni yake , inawahusu nini nyinyi masikini....
Utasikia kijora 50,000😅
Keshapiga hesabu zake hapo
Siyo hela yakeKama hela ni yake , inawahusu nini nyinyi masikini....
Kinachozingatiwa kwa mwanamke akiwa ndani ya himaya ya mwanaume ni mahabbat yake,, how romántic she isWatu wa daslam wanashobokea mademu wa kawaida sana, hivi mkija huku kaskazini mkakuta mtoto mkali kama Rihana alafu anauza mgahawa si mtashangaa sana?
Hiyo pisi ndefu kama ngongoti huku kaskazini haina soko wala tukipishana nayo hatuangalii nyuma
😂😂😂😂😂Kaka Haji na yeye atafanya sherehe ya kutoa talaka, wamekutana wote waswahili na wanajivunia uswahili wao
Huko mna maisha magumu hatuji, halafu kaskazini watoto wana miguu kama spokuWatu wa daslam wanashobokea mademu wa kawaida sana, hivi mkija huku kaskazini mkakuta mtoto mkali kama Rihana alafu anauza mgahawa si mtashangaa sana?
Hiyo pisi ndefu kama ngongoti huku kaskazini haina soko wala tukipishana nayo hatuangalii nyuma