DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 31,636
- 81,533
Single mothers = Problems
Safari hii ataoa kimya kimya maana ulimwengu umeshampa somo.Na anavopenda kuoa kabla mwaka haujaisha atakua kishavuta jiko lingine
Labda sio haji mzaramo 😂Safari hii ataoa kimya kimya maana ulimwengu umeshampa somo.
Ni huzuni na masikitiko...mbaya zaidi mwanamke alikua Hana upendo na manara.Aisee, watu wanapitia mengi huko vyumbani
Sahihi, ndogo yake najua bila shaka Mzungu ashaichakaza mbaya.Akapime na ngoma kwanza
Hizo ghalama za sherehe si bora angeenda kutoa msaada kwa wenye mahitaji maalum labda angepata thawabu kwa mwenye enzi Mungu.
MOJA ya habari zinazotreni mitandaoni na vyombo vya habari ni iliyokuwa ndoa ya Haji Manara na Zaylissa ambayo imefikia mwisho na inaelezwa mwanadada huyo amepanga kushusha bonge la pati kusherehekea talaka yake.
Zaylissa amesema ataandaa sherehe hiyo atakayoipa jina la 'Usiku wa Talaka' kwani hadi anaipata talaka hiyo, haikuwa kazi rahisi na ametumia nguvu za ziada.
Akizungumza na Mwanaspoti, mwigizaji huyo wa Bongo Movie amekiri mpango huo ni kweli kwani aliolewa kwa sherehe na na atatoka kwa sherehe.
"Eeeh! sio shida nzangu kufanya sherehe, sasa kwa nini niolewe na sherehe na nitoke bila sherehe? Mimi mtoto wa Kitanga bwana, sherehe kwangu kama maji ya kunywa tu na isitoshe nimeitaka mwenyewe talaka alaah! We subiria muda ukifika nitakwambia nipo kwenye maandalizi na nitawaalika watu wengi wacheze, kunywa na kula kwa kadiri watavyojisikia, pia wakiwa wamevalia sare ya vijora pambe tu," amesema Zaylissa.
Zaylissa aliongeza, “Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia afya njema na kurejesha furaha yangu na kufungua ukurasa mpya wa maisha yangu, kwani siku chache zilizopita nilikuwa siko poa."
Amesema ndoa yake hiyo imemfunza mambo mengi na hata kama ikitokea ndoa nyingine, haitaweza kumteteresha kwani tayari ameshapita kwenye mafunzo.
“Sipendi kuzungumzia sana habari za ndoa hii kuvunjika, ila kifupi nilikuwa katika wakati mgumu na leo hii nimejifunza mengi katika maisha ya ndoa," amesema.
Hivi karibuni kumekuwa na matukio ya aina hiyo ya wanawake wanaotoka kwenye mahusiano na hasa ndoa 'talaka' kufanya sherehe kufurahia talaka hiyo.
Pia wapo wengine walioondoka kwa waume zao kabla hawajapewa talaka ila wanapokwenda kuichukua tu, huwa wanafanya sherehe. wenyewe huziita sherehe maalumu za kusherehekea kuachwa na kupewa talaka.
Mbali na hiyo, wapo wanawake wanaoongezewa mke kwa waume zao huwa wanafanya sherehe ya kumpokea mke mwenza. Mambo haya sio mageni kwa sasa na yanatrendi sana mitandaoni.View attachment 3307157
Alioa kwa mbwembwe sana ndio maana domo limekuwa zito saizi.
Alidhani amemkomoa Dula.
Haji aachane na kudate na super stars, madem wa mtandaoni.MOJA ya habari zinazotreni mitandaoni na vyombo vya habari ni iliyokuwa ndoa ya Haji Manara na Zaylissa ambayo imefikia mwisho na inaelezwa mwanadada huyo amepanga kushusha bonge la pati kusherehekea talaka yake.
Zaylissa amesema ataandaa sherehe hiyo atakayoipa jina la 'Usiku wa Talaka' kwani hadi anaipata talaka hiyo, haikuwa kazi rahisi na ametumia nguvu za ziada.
Akizungumza na Mwanaspoti, mwigizaji huyo wa Bongo Movie amekiri mpango huo ni kweli kwani aliolewa kwa sherehe na na atatoka kwa sherehe.
"Eeeh! sio shida nzangu kufanya sherehe, sasa kwa nini niolewe na sherehe na nitoke bila sherehe? Mimi mtoto wa Kitanga bwana, sherehe kwangu kama maji ya kunywa tu na isitoshe nimeitaka mwenyewe talaka alaah! We subiria muda ukifika nitakwambia nipo kwenye maandalizi na nitawaalika watu wengi wacheze, kunywa na kula kwa kadiri watavyojisikia, pia wakiwa wamevalia sare ya vijora pambe tu," amesema Zaylissa.
Zaylissa aliongeza, “Namshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia afya njema na kurejesha furaha yangu na kufungua ukurasa mpya wa maisha yangu, kwani siku chache zilizopita nilikuwa siko poa."
Amesema ndoa yake hiyo imemfunza mambo mengi na hata kama ikitokea ndoa nyingine, haitaweza kumteteresha kwani tayari ameshapita kwenye mafunzo.
“Sipendi kuzungumzia sana habari za ndoa hii kuvunjika, ila kifupi nilikuwa katika wakati mgumu na leo hii nimejifunza mengi katika maisha ya ndoa," amesema.
Hivi karibuni kumekuwa na matukio ya aina hiyo ya wanawake wanaotoka kwenye mahusiano na hasa ndoa 'talaka' kufanya sherehe kufurahia talaka hiyo.
Pia wapo wengine walioondoka kwa waume zao kabla hawajapewa talaka ila wanapokwenda kuichukua tu, huwa wanafanya sherehe. wenyewe huziita sherehe maalumu za kusherehekea kuachwa na kupewa talaka.
Mbali na hiyo, wapo wanawake wanaoongezewa mke kwa waume zao huwa wanafanya sherehe ya kumpokea mke mwenza. Mambo haya sio mageni kwa sasa na yanatrendi sana mitandaoni.View attachment 3307157
Na anavopenda kuoa kabla mwaka haujaisha atakua kishavuta jiko lingine
Huu ukimya wake siku hizi chache atakua anazunguka kwenye inbox za watu kutafuta mkeNa ndipo pia hukosea maana hajipi muda wa kutafakali na kujifunza ili kuepuka makosa tena.
Yeye anaoa kama kisasi au kuwakomesha ma exs zake.
Yule hashindwi 🤣🤣Huu ukimya wake siku hizi chache atakua anazunguka kwenye inbox za watu kutafuta mke
Huu ukimya wake siku hizi chache atakua anazunguka kwenye inbox za watu kutafuta mke