Kichogo
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 2,192
- 3,453
Mashangaz harakisheni muokoe jahaz lamabint wa 2000Nasikitika maana kuna vijana wadogo ambao wataiga tabia la hizi...
Mitandao ya kijamii ni ugonjwa usio na dawa kwa Tanzania
Mashangaz harakisheni muokoe jahaz lamabint wa 2000Nasikitika maana kuna vijana wadogo ambao wataiga tabia la hizi...
Mitandao ya kijamii ni ugonjwa usio na dawa kwa Tanzania
Mshangazi wenyewe wameshaugua ugonjwa wa mitandao ya kijamii...Mashangaz harakisheni muokoe jahaz lamabint wa 2000
Nasikiaga sikiaga zylisa sijui ndio nani ngoja nimgoogle nije kutoa mrejesho maana sio kwa kiki.Watu wa daslam wanashobokea mademu wa kawaida sana, hivi mkija huku kaskazini mkakuta mtoto mkali kama Rihana alafu anauza mgahawa si mtashangaa sana?
Hiyo pisi ndefu kama ngongoti huku kaskazini haina soko wala tukipishana nayo hatuangalii nyuma
Inategemea mbagala Gani, labda chini kibonde maji au MBELE mpaka kwa mbikuMtu tumamu hawezi oa mwanamke wa Mbagala
HahahahInategemea mbagala Gani, labda chini kibonde maji au MBELE mpaka kwa mbiku
Duh kwahiyo kila siku mwamba anachojoka 400k!?Nasikiaga sikiaga zylisa sijui ndio nani ngoja nimgoogle nije kutoa mrejesho maana sio kwa kiki.
Mwanamke wa aina ya huyo Zai ni hasara yaani manara akitaka mbususu/ papuchi 400k analipishwa na mkewe? Maajabu Sanaa
Mpaka Uzi upo humu ndani.Duh kwahiyo kila siku mwamba anachojoka 400k!?
Ukishangaa ya Gigimoney utayaona ya........Ukishangaa ya Zuchu utayaona ya Zaiylisa
Aisee, watu wanapitia mengi huko vyumbaniMpaka Uzi upo humu ndani.
Udambwi udambwi😁😁😜😜Shida wa huko kaskazini hawana udambwidambwi kama wa huku mbagala hao mkizama ndani ni kama umechukua ile midoli ya nguo no udambwidambwi
Hata uongozi na siasa za Tanzania zimejengwa kwenye msingi wa uswahili uswahili. Siku zote waswahili ni watu wa maneno mengi na muda mwingi wanapoteza kufanya mambo yasiyo na maana, ya kivivu-vivu, huku vizazi vyao vikibaki kwenye umaskini. Tanzania iko hivyo hivyo. Nadhani ni kwa sababu chimbuko la siasa na uongozi ni Pwani.Waswahili wana mambo ya ajabu sana sometimes
Alioa kwa mbwembwe sana ndio maana domo limekuwa zito saizi.Haji anajifanyaga ana mdomo hapa kakutana na kiboko yake
Wamekutana pipa na mfuniko haji mwenyewe nae hajali.Haji anajifanyaga ana mdomo hapa kakutana na kiboko yake
Na anavopenda kuoa kabla mwaka haujaisha atakua kishavuta jiko lingineAlioa kwa mbwembwe sana ndio maana domo limekuwa zito saizi.
Alidhani amemkomoa Dula.