kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,732
Huu sasa ni wakati wa CHADEMA kuanzisha TV yake ili tuwe tunaona mambo mbalimbali yanayotokea katika nchi hii na kulinda ajira za Watangazaji wenye moyo na upeo kama huu wa Joyce Kiria, nazungumza haya kwa sababu huyu dada anaweza kuendelea na jitihada zake hizi na kama tujuavyo yeye ni mtangazaji wa kile kipindi cha wanawake Live hivyo isije tokea mmiliki wa kile kituo akaona Joyce anamuharibia kwani kuna uwezekano wadhamini wakapungua na kama tujuavyo wadhamini miongoni ni makampuni ya Mafisadi hivyo kuishambulia Serikali ya CCM ni moja kwa moja unashambulia maslahi ya Mafisadi