Yusuph Mlela amtolea mitusi Ney wa mitego kisa Bongo movies kuandamana

Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668
Mlela size yako hii hapa jitokeze nidhamini pambano
image.jpg
 
Kishelia
Ufikilivu
atujakataza

Ndio haya niliyasema jana, hivi vijamaa vinalazimisha viwe noticed hata kama ni vya hovyo. Ney is right, wanajulikana zaidi ya filamu zao na tunawajua kwa magazeti ya skendo. Sasa ndio uchafu gani huo ameandika?
 
kigwangala nilimshangaa sana alipokuwa anatafuta mashoga,nikawa najiuliza hivi bongo movie hapajui hivi nje ya filamu hizi za kukaa uchi na kulambalamba midomo hawakina mlela wanakazi gani nyinge kama sio,udananda na kujiuza kwa majimama na hizi zote ndo tabia za machoko
 
Hizo tafsiri sasa, ina maana hawazifanyii editing ama ni nini. Jamani Bongo movie na hili pia mtasema mnaonewa ama
1492791585769.jpg
 
Sasa mbona Mlela ameshindwa kujenga hoja! Ngumi round 3 imetoka wapi, povu lake linathibitisha tu kuwa Ney yuko right.
 
Kutokana na kuripotiwa vibaya na baadhi yetu, kwa sababu moja au nyingine, tumekuwa tukiwarushia mvua ya madongo wadau wa Bongo movies walioandamana kupinga uwiano mbovu wa kibiashara kati ya filamu za wazawa na zinazotoka nje ya nchi! Baada ya kumsikiliza mdau Yusuf Mlela kupitia, Global TV, binafsi nimepata picha tofauti kidogo!

Tusichoshane, hebu msikilizeni Yusuf Mlela wa Bongo Movies!:

 
Back
Top Bottom