Yusuph Mlela amtolea mitusi Ney wa mitego kisa Bongo movies kuandamana

Mimi binafsi siipend bongo muvi kwa sababu zifuatazo
1.katikati ya muvi wanapita shortcut utaona "baada ya miezi Sita au baada ya mwaka mmoja" wakati wenzetu(mambele uko) huo mwaka mmoja hua wanatuonyesha wote means wataigiza Ata kwa episode ilimradi story inoge
2.story za bongo muvi nyingi sio created means sio mpya apa inabore yani unaangalia trela unaikumbuka myb ni story iliyokwishazunguka kwenye sms mtaani kama story ya kusisimua au kuhuzunisha apo Ata muvi hutamaliza coz unaijua Tayari ila pia story zao majini majini, zali la mentali au mapenzi
3.sometime quality ya muvi kua ndogo Sanaa yani unaona bora uzime TV ndio uangalie
Ushauri wangu kwa bongo muvi
1.Tengenezeni muvi za maana (high quality) apa kuna gharama na muda mwingi ila ili utengeneze kitu kizuri lazma ukigharamie Ata wenzetu muvy zao wanatumia mamilioni ya dola na kwa muda mrefu na wanatengeneza muvi ya maana inawalipa vizuri sokoni wakati huo ninyi mnawaza kuzifungia bila kujua tutazdounload tuu
2.mtunge story mpya zenye ustadi wa hali ya juu zifuatazo wavutia Ata wenzetu wa nchi za nje
 
Huyo mlela cjui anafikili wote wanapenda mauzo ckasema ney ni wa manzese amfuate huko wakzchape anamtangazia nan sasa na Ana Bahati sana tuko bongo angekua mbele akutane na madogo kama chief keef, bobby shmurda angeona wanachomfanya
 
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668

Naona wanataka kutulazimisha tuangalie movie zao wengi nimegundua wengi wanaotazama bongo movie ni watoto na wanawake pia wengine ni wale wasiojua kingereza
 
kanumba alishaondoka na bongo muvi yake labda wabadili jina la bongo muvi wanaweza toboa tena
 
Bwana Ney wa Mitego inabidi tuu, amkubalie bwana Yusuf Mlela, maana wakichapana atajulikana nani mbabe. Kuliko kutambiana sana na kujaza Saver za blog mbalimbali
 
Wao lazima wakubali kwamba movie za Bongo ni za viwango vya chini kabisa,.. Wangeweza kuboresha movie zao ndio lingekua suluhisho la ushindani na ukuzaji wa soko la filamu zao.. Ajue tu umaarufu wake upo kwa waschana wa kazi.
 
Cwez kuangalia filam ambayo mtekaj/jambaz anaingia ndan kufanya utekaj viatu anavua mlangon.
 
Kwa hiyo wanatemea fast n furious ikiuzwa elfu 10 na bongo muvi iuzwe buku ntanunua bongo movie? Kwa kipi hasa? Pathetic
 
Mlel na wenzako wote hopeless mnazingua tu eti bongo movie movie mnazijua nyie? Bora kina kingwendu mi bongo naonaga vichekesho au comedy ndio kidogo wanaonekana wanafanya nn nyie kwanza hzo mnazoita movie nyingi mmekopy na hamzitendei haki kutokana na ufinyu wa bajeti zenu na hata wahusika wanapatikana kimagumashi tu hasa hao madem zenu kwa hyo tusizinguane mi binafsi siwapendi bongo movie na nna uhakika watanzania wengi hawana time na nyie kama mnavyoona response yao kwa zuio lililotolewa na shemeji yenu
 
Hivi hawa wanaoijiita bongo movie au ni vichekeshi yaani nitoe pesa yangu nikatazame uchafu huo kha
 
Msanii wa filamu nchini Yusuph Mlela amemtusi
rapa Nay wa Mitego kwa kile anachodai kuwa
msanii huyo anapotosha jamii juu ya
maandamano waliofanya baadhi ya wasanii wa
filamu nchini.
View attachment 498667
Yusuph Mlela ambaye kwenye post yake
ameonekana kushindwa kutumia lugha ya staha
huku akionesha kutokwa na povu jingi kutokana
na mapokeo ya mashabiki wa filamu ambao
walio wengi wamekuwa wakiwachana wasanii
hao na kuwataka kufanya kazi zenye ubora.
Rapa Nay wa Mitego alisikika akisema kuwa
baadhi ya wasanii wa filamu ambao
waliandamana ni matahira kwani kitendo cha
wao kutaka filamu za nje zizuiliwe hakina tija na
mantiki yoyote.
Kutokana na jambo hilo, ndipo hapo msanii huyo
alipoamua kushusha ujumbe kwa msanii Nay wa
Mitego

"Nay True Boy wewe jamaa si ulikuwa chocolaa
wewe leo umeyapatia kidogo unasahau kwamba
nyuma yako kuna kundi la vijana wanatamani
kuwa waigizaji\wanamuziki wakubwa....acha
kupotosha jamii yetu Kwa sababu zako binafsi...
sisi wasanii hatujakataza movie za nje. Tunataka
wanaozisambaza wafuate taratibu za kisheria ili
uwiano wa biashara uwepo ndiyo lengo la
maandamano" alisema Mlela
Mbali na hapo msanii huyo pia ameomba
mpambano na Nay wazichape
"Nay wa Mitego acha kutafuta sifa... nakushangaa
kuwa na ufikilivu mdogo kama wewe siyo
msanii...halafu huwezi kufananisha filamu na
muziki..... Wewe si mtoto wa Manzese unajifanya
unajua kupiga ngumi nataka Round 3 tu za boxing
kwenye stage ili Tanzania ijue nani taahira nikutie
adabu..... This is serous coz we mtoto mdogo tu
kwangu nakupa dole la kati kuongea sana tabia za kike
wewe si hip hop na unajiamini njoo uwanjani
chagua popote pale" Yusuph Mlela
View attachment 498668
Duu mipasho ya mwajuma ndalandefu copyright
 
Back
Top Bottom