Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Kweli aisee,walikosea Sana.Miongoni mwa mambo yanayopunguza ajira kwa vijana ni kama hayo, kwann Serikali inafikia kuwabana watu muhim kama hawa ambao ni miongoni mwa wanaozalisha ajira kwa vijana wengi wa kitanzania, kwann Serikali haifkirii mawazo positive ya kuwatunza matajiri kama hawa ili ipate vyanzo vizuri vya kupata kodi ili mapato ya taifa yaongezeke? inaonyesha walichomfanyia huyu jamaa wamekurupuka
Kumbe huyu jamaa alikuwa fisadi eenhh??,hebu tupe ubuyu.Siku zote uwa sikubaliani na sera za CCM hasa masuala ya uwekezaji,sikukubaliana hasa na sera na mtazamo wa mwendazake JPM.
Ila kwa suala la wawekezaji aina ya Manji,nilimuunga mkono sana JPM,
Manji hakuwa mwekezaji bali alikuwa ni fisadi hasa,akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali,watendaji wa chama cha CCM na baadhi ya viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wasio waaminifu.
Ni vile watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kufatilia taarifa za nchi yao,Manji alikuwa ni muhuni tu.
Shida nini mkuu??,Tueleweshane.Wapinzani mnamtamani kanji Tena!!Tuna upinzani wa kipuuzi Tz Zaid ya Africa nzima.
Yani leo mnamtamani muwekezaji Aina ya manji????
Binafsi kwangu muwekezaji kutoka Asia Ni mwarabu tu baada ya mzungu.
Wengine wote janja janja tu,akawekeze nchi zingine hukooo na si uwekezaji wa namna ya wahindi/wapakistan Hawa waliopo Africa.
Mpaka kichefuchefu
Ok!!!, Kumbe jamaa ni wanyonyaji.Ajira au upuuzi tu,we mtu alipwe laki moja au elfu3 kwa siku ndo unaona ajira hyo?
Na mdegree wako unaenda kupewa laki na nusu??
Eti engineer analipwa laki mbili na tisini.
Hebu angalieni wazungu/warabu/waturuki wanalipaje na si hao makabachori wanaoundaga urafiki na viongozi wa serikali ili wapige
Km Kweli alikuwa fisadi Bora abaki huko huko,lkn km alikuwa mtu Safi namuombea arudi tena Bongo.Baada ya mwendazake kumbambikia kesi ili amfunge na kupora pesa zake nyingi sana aliamua kwenda USA. Nadhani huyu atakuwa watu wa mwanzo mwanzo kubambikiwa kesi na kuporwa mabilioni yake.Tusubiri tuone kama atarudi au ndio katupa jongoo na mti wake.
Rostam je??Siku zote uwa sikubaliani na sera za CCM hasa masuala ya uwekezaji,sikukubaliana hasa na sera na mtazamo wa mwendazake JPM.
Ila kwa suala la wawekezaji aina ya Manji,nilimuunga mkono sana JPM,
Manji hakuwa mwekezaji bali alikuwa ni fisadi hasa,akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali,watendaji wa chama cha CCM na baadhi ya viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wasio waaminifu.
Ni vile watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kufatilia taarifa za nchi yao,Manji alikuwa ni muhuni tu.
Mwafrica wa ChatoAlishasema kuwa Mwafrika bado anaEvolve
Miongoni mwa mambo yanayopunguza ajira kwa vijana ni kama hayo, kwann Serikali inafikia kuwabana watu muhim kama hawa ambao ni miongoni mwa wanaozalisha ajira kwa vijana wengi wa kitanzania, kwann Serikali haifkirii mawazo positive ya kuwatunza matajiri kama hawa ili ipate vyanzo vizuri vya kupata kodi ili mapato ya taifa yaongezeke? inaonyesha walichomfanyia huyu jamaa wamekurupuka
Yupo nje huko majengo yake pale ilala yanazidi kuwa magofuHuyu Tajiri Yusuf Manji yuko wapi siku hizi, je kampuni zake zinaendelea kutoa ajira kwa vijana?
Sawa mwerevu, ila Serikali yenu inakurupuka sana, yaaani rohombaya siku zote haijengi, ndio maana mnakufa maskini kutokana na rohozenu mbayaa, na je hao matajiri wengine wanaoondoka inakuaje?Wewe ni moja ya watu Wapuuzi kabisa na hamfatilii mambo kwa kina bali mnakurupuka tu
Manji alikuwa bingwa wa kufanya lobbying akishirikiana na baadhi ya watendaji wa Serikali wasio waadilifu
Hili swala hata Marehemu Dr Mengi alishaliweka wazi kabisa mchana kweupe kuhusiana na upuuzi wa Manji na namna anavyohujumu nchi, lakini Wapuuzi na malofa wachache kama nyinyi ambao hamfatilii mambo ndio mnashoboka
Fatilieni mambo mjue kwa kina
Mara mía muwekezaji Mzungu anaekuibia dhahabu na almasi lakini Staff affairs zipo ktk standard ya hali ya juu, yaani mzungu anajua ku-take care wafanyakazi wa kampuni yake kwa daraja la juu sana lakini sio hawa gabacholi au wachina
WAFANYABIASHARA WAIKIMBIA DAR ES SALAAM.Siku zote uwa sikubaliani na sera za CCM hasa masuala ya uwekezaji,sikukubaliana hasa na sera na mtazamo wa mwendazake JPM.
Ila kwa suala la wawekezaji aina ya Manji,nilimuunga mkono sana JPM,
Manji hakuwa mwekezaji bali alikuwa ni fisadi hasa,akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali,watendaji wa chama cha CCM na baadhi ya viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wasio waaminifu.
Ni vile watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kufatilia taarifa za nchi yao,Manji alikuwa ni muhuni tu.
Mimi ningechagua hiyo ya laki moja kwa siku. Kumbe alikuwa anawalipa vizuri tu wafanyakazi wake!... we mtu alipwe laki moja au elfu3 kwa siku ndo unaona ajira hyo?
Kuna mijitu mkuu rohombaya sana, ndio maana maisha yanakufa maskini kutokana na tamaa zao za kipumbavuMimi ningechagua hiyo ya laki moja kwa siku. Kumbe alikuwa anawalipa vizuri tu wafanyakazi wake!