kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,297
- 8,294
Yusuf Mehboob Manji alikuwa ni mmoja wa Wafadhili waliowahi Kuifadhili Yanga Afrika kwa Mafanikio Makubwa.
Baadhi ya Wachezaji aliowahi kuwasajili alikuwepo Kiungo Kamusoko mzimbabwe aliyetesa soka La Bongo.!
Kipindi cha ' Kampa Kampa tena' Yanga Afrika ilitawala Soka La Bongo.
Pamoja na hayo yote Alitangaza nia yake Ya Kujenga Uwanja pale Jangwani (Jangwani complex) utakaokuwa na Uwezo Kuingiza watu 40,000 pamoja na Magari yasiyopungua 1,000.
Yalitokea yaliyotokea na imekuwa ni stori kama stori zingine tu.
Ni nini Kilikwamisha ? Majibu anayo Manji, Wengine inabakia dhana tu.
Leo, injinia Hersi ambae ni Raisi wa Klabu anakuja na lile lile kwamba GSM ameahidi Kujenga Uwanja.
Wapi.? Pale pale Jangwani.
Wapo wanaodhani ni Siasa zile zile za Soka.
Pia,wapo wanao shangilia nia hiyo na Washaanza kutoa shukurani kwa GSM kana kwamba Kashajenga Uwanja.
Ni vema bila shaka,wakati ahadi kama hizi zinatolewa zingetazamwa kwa kina ni Sababu zipi zilisababisha Jangwani complex ya Yusufu Manji isifanikiwe. Na sasa kipi kimebadilika Ya GSM ifanikiwe.
Wakati tunasema Daima mbele Nyuma Mwiko....tutafakari hii pamoja..!
Baadhi ya Wachezaji aliowahi kuwasajili alikuwepo Kiungo Kamusoko mzimbabwe aliyetesa soka La Bongo.!
Kipindi cha ' Kampa Kampa tena' Yanga Afrika ilitawala Soka La Bongo.
Pamoja na hayo yote Alitangaza nia yake Ya Kujenga Uwanja pale Jangwani (Jangwani complex) utakaokuwa na Uwezo Kuingiza watu 40,000 pamoja na Magari yasiyopungua 1,000.
Yalitokea yaliyotokea na imekuwa ni stori kama stori zingine tu.
Ni nini Kilikwamisha ? Majibu anayo Manji, Wengine inabakia dhana tu.
Leo, injinia Hersi ambae ni Raisi wa Klabu anakuja na lile lile kwamba GSM ameahidi Kujenga Uwanja.
Wapi.? Pale pale Jangwani.
Wapo wanaodhani ni Siasa zile zile za Soka.
Pia,wapo wanao shangilia nia hiyo na Washaanza kutoa shukurani kwa GSM kana kwamba Kashajenga Uwanja.
Ni vema bila shaka,wakati ahadi kama hizi zinatolewa zingetazamwa kwa kina ni Sababu zipi zilisababisha Jangwani complex ya Yusufu Manji isifanikiwe. Na sasa kipi kimebadilika Ya GSM ifanikiwe.
Wakati tunasema Daima mbele Nyuma Mwiko....tutafakari hii pamoja..!