Yusuf Manji yuko wapi?

Miongoni mwa mambo yanayopunguza ajira kwa vijana ni kama hayo, kwann Serikali inafikia kuwabana watu muhim kama hawa ambao ni miongoni mwa wanaozalisha ajira kwa vijana wengi wa kitanzania, kwann Serikali haifkirii mawazo positive ya kuwatunza matajiri kama hawa ili ipate vyanzo vizuri vya kupata kodi ili mapato ya taifa yaongezeke? inaonyesha walichomfanyia huyu jamaa wamekurupuka
Kweli aisee,walikosea Sana.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Siku zote uwa sikubaliani na sera za CCM hasa masuala ya uwekezaji,sikukubaliana hasa na sera na mtazamo wa mwendazake JPM.

Ila kwa suala la wawekezaji aina ya Manji,nilimuunga mkono sana JPM,
Manji hakuwa mwekezaji bali alikuwa ni fisadi hasa,akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali,watendaji wa chama cha CCM na baadhi ya viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wasio waaminifu.

Ni vile watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kufatilia taarifa za nchi yao,Manji alikuwa ni muhuni tu.
Kumbe huyu jamaa alikuwa fisadi eenhh??,hebu tupe ubuyu.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Wapinzani mnamtamani kanji Tena!! Tuna upinzani wa kipuuzi Tz Zaid ya Africa nzima.

Yani leo mnamtamani muwekezaji Aina ya manji????

Binafsi kwangu muwekezaji kutoka Asia Ni mwarabu tu baada ya mzungu.
Wengine wote janja janja tu,akawekeze nchi zingine hukooo na si uwekezaji wa namna ya wahindi/wapakistan Hawa waliopo Africa.
Mpaka kichefuchefu
Shida nini mkuu??,Tueleweshane.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Ajira au upuuzi tu,we mtu alipwe laki moja au elfu3 kwa siku ndo unaona ajira hyo?
Na mdegree wako unaenda kupewa laki na nusu??
Eti engineer analipwa laki mbili na tisini.

Hebu angalieni wazungu/warabu/waturuki wanalipaje na si hao makabachori wanaoundaga urafiki na viongozi wa serikali ili wapige
Ok!!!, Kumbe jamaa ni wanyonyaji.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Baada ya mwendazake kumbambikia kesi ili amfunge na kupora pesa zake nyingi sana aliamua kwenda USA. Nadhani huyu atakuwa watu wa mwanzo mwanzo kubambikiwa kesi na kuporwa mabilioni yake.Tusubiri tuone kama atarudi au ndio katupa jongoo na mti wake.
Km Kweli alikuwa fisadi Bora abaki huko huko,lkn km alikuwa mtu Safi namuombea arudi tena Bongo.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Siku zote uwa sikubaliani na sera za CCM hasa masuala ya uwekezaji,sikukubaliana hasa na sera na mtazamo wa mwendazake JPM.

Ila kwa suala la wawekezaji aina ya Manji,nilimuunga mkono sana JPM,
Manji hakuwa mwekezaji bali alikuwa ni fisadi hasa,akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali,watendaji wa chama cha CCM na baadhi ya viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wasio waaminifu.

Ni vile watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kufatilia taarifa za nchi yao,Manji alikuwa ni muhuni tu.
Rostam je??

Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
 
Miongoni mwa mambo yanayopunguza ajira kwa vijana ni kama hayo, kwann Serikali inafikia kuwabana watu muhim kama hawa ambao ni miongoni mwa wanaozalisha ajira kwa vijana wengi wa kitanzania, kwann Serikali haifkirii mawazo positive ya kuwatunza matajiri kama hawa ili ipate vyanzo vizuri vya kupata kodi ili mapato ya taifa yaongezeke? inaonyesha walichomfanyia huyu jamaa wamekurupuka

Wewe ni moja ya watu Wapuuzi kabisa na hamfatilii mambo kwa kina bali mnakurupuka tu

Manji alikuwa bingwa wa kufanya lobbying akishirikiana na baadhi ya watendaji wa Serikali wasio waadilifu
Hili swala hata Marehemu Dr Mengi alishaliweka wazi kabisa mchana kweupe kuhusiana na upuuzi wa Manji na namna anavyohujumu nchi, lakini Wapuuzi na malofa wachache kama nyinyi ambao hamfatilii mambo ndio mnashoboka

Fatilieni mambo mjue kwa kina

Mara mía muwekezaji Mzungu anaekuibia dhahabu na almasi lakini Staff affairs zipo ktk standard ya hali ya juu, yaani mzungu anajua ku-take care wafanyakazi wa kampuni yake kwa daraja la juu sana lakini sio hawa gabacholi au wachina
 
WAFANYABIASHARA WAIKIMBIA DAR ES SALAAM.

Mbunge wa Ilala Mussa Zungu amesema biashara katika jiji la Dar es salaam, zimekufa na wafanyabiashara wanaondoka kwenda nchi nyingine kufanya biashara kwa sababu wanashindwa kupita kwenye barabara katikati ya mji.
#MwanzoTV https://t.co/x6llTMY68w
Wewe ni moja ya watu Wapuuzi kabisa na hamfatilii mambo kwa kina bali mnakurupuka tu

Manji alikuwa bingwa wa kufanya lobbying akishirikiana na baadhi ya watendaji wa Serikali wasio waadilifu
Hili swala hata Marehemu Dr Mengi alishaliweka wazi kabisa mchana kweupe kuhusiana na upuuzi wa Manji na namna anavyohujumu nchi, lakini Wapuuzi na malofa wachache kama nyinyi ambao hamfatilii mambo ndio mnashoboka

Fatilieni mambo mjue kwa kina

Mara mía muwekezaji Mzungu anaekuibia dhahabu na almasi lakini Staff affairs zipo ktk standard ya hali ya juu, yaani mzungu anajua ku-take care wafanyakazi wa kampuni yake kwa daraja la juu sana lakini sio hawa gabacholi au wachina
Sawa mwerevu, ila Serikali yenu inakurupuka sana, yaaani rohombaya siku zote haijengi, ndio maana mnakufa maskini kutokana na rohozenu mbayaa, na je hao matajiri wengine wanaoondoka inakuaje?
 
Siku zote uwa sikubaliani na sera za CCM hasa masuala ya uwekezaji,sikukubaliana hasa na sera na mtazamo wa mwendazake JPM.

Ila kwa suala la wawekezaji aina ya Manji,nilimuunga mkono sana JPM,
Manji hakuwa mwekezaji bali alikuwa ni fisadi hasa,akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali,watendaji wa chama cha CCM na baadhi ya viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wasio waaminifu.

Ni vile watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kufatilia taarifa za nchi yao,Manji alikuwa ni muhuni tu.
WAFANYABIASHARA WAIKIMBIA DAR ES SALAAM.

Mbunge wa Ilala Mussa Zungu amesema biashara katika jiji la Dar es salaam, zimekufa na wafanyabiashara wanaondoka kwenda nchi nyingine kufanya biashara kwa sababu wanashindwa kupita kwenye barabara katikati ya mji.
#MwanzoTV https://t.co/x6llTMY68w
 
Mimi ningechagua hiyo ya laki moja kwa siku. Kumbe alikuwa anawalipa vizuri tu wafanyakazi wake!
Kuna mijitu mkuu rohombaya sana, ndio maana maisha yanakufa maskini kutokana na tamaa zao za kipumbavu
 
Manji aliyenunua Mbaazi za wakulima kule Lindi na Mtwara 2000+ kwa kg . Baada ya kubambikiwa kesi Mbaazi zikawa Tzs 150 kwa kg. Ni mwekezaji mwenye akili kuliko Mwendazake.

Mwendazake aliyepora Korosho na zikaoza mikononi mwake na kushindwa kutafuta soko la Mbaazi za wakulima kwa bei ileile Bora katangulia Mbwa mara zote hawezi kuishi kuliko binadamu.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom