STRUGGLE MAN
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 8,638
- 16,566
Huyu Tajiri Yusuf Manji yuko wapi siku hizi, je kampuni zake zinaendelea kutoa ajira kwa vijana?
Ndio kakimbia au kawaida yake kwenda hukoNilisikia yupo Marekani
Miongoni mwa mambo yanayopunguza ajira kwa vijana ni kama hayo, kwann Serikali inafikia kuwabana watu muhim kama hawa ambao ni miongoni mwa wanaozalisha ajira kwa vijana wengi wa kitanzania, kwann Serikali haifkirii mawazo positive ya kuwatunza matajiri kama hawa ili ipate vyanzo vizuri vya kupata kodi ili mapato ya taifa yaongezeke? inaonyesha walichomfanyia huyu jamaa wamekurupukaYusuf Manji alionewa sana na Shujaa wa Mazezeta
Darwin alishasemaMiongoni mwa mambo yanayopunguza ajira kwa vijana ni kama hayo, kwann Serikali inafikia kuwabana watu muhim kama hawa ambao ni miongoni mwa wanaozalisha ajira kwa vijana wengi wa kitanzania, kwann Serikali haifkirii mawazo positive ya kuwatunza matajiri kama hawa ili ipate vyanzo vizuri vya kupata kodi ili mapato ya taifa yaongezeke? inaonyesha walichomfanyia huyu jamaa wamekurupuka
Alishasema kuwa Mwafrika bado anaEvolveCharles Darwin?
Siku zote uwa sikubaliani na sera za CCM hasa masuala ya uwekezaji,sikukubaliana hasa na sera na mtazamo wa mwendazake JPM.Yusuf Manji alionewa sana na Shujaa wa Mazezeta
Ajira au upuuzi tu,we mtu alipwe laki moja au elfu3 kwa siku ndo unaona ajira hyo?Miongoni mwa mambo yanayopunguza ajira kwa vijana ni kama hayo, kwann Serikali inafikia kuwabana watu muhim kama hawa ambao ni miongoni mwa wanaozalisha ajira kwa vijana wengi wa kitanzania, kwann Serikali haifkirii mawazo positive ya kuwatunza matajiri kama hawa ili ipate vyanzo vizuri vya kupata kodi ili mapato ya taifa yaongezeke? inaonyesha walichomfanyia huyu jamaa wamekurupuka
Wewe umewekeza nini?.Acha dharau za kiboya.Wapinzani mnamtamani kanji Tena!! Tuna upinzani wa kipuuzi Tz Zaid ya Africa nzima.
Yani leo mnamtamani muwekezaji Aina ya manji????
Binafsi kwangu muwekezaji kutoka Asia Ni mwarabu tu baada ya mzungu.
Wengine wote janja janja tu,akawekeze nchi zingine hukooo na si uwekezaji wa namna ya wahindi/wapakistan Hawa waliopo Africa.
Mpaka kichefuchefu
Siku zote uwa sikubaliani na sera za CCM hasa masuala ya uwekezaji,sikukubaliana hasa na sera na mtazamo wa mwendazake JPM.
Ila kwa suala la wawekezaji aina ya Manji,nilimuunga mkono sana JPM,
Manji hakuwa mwekezaji bali alikuwa ni fisadi hasa,akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali,watendaji wa chama cha CCM na baadhi ya viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wasio waaminifu.
Ni vile watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kufatilia taarifa za nchi yao,Manji alikuwa ni muhuni tu.
Unayajua makampuni ya Manji Tz?Wapinzani mnamtamani kanji Tena!!😄😄 Tuna upinzani wa kipuuzi Tz Zaid ya Africa nzima.
Yani leo mnamtamani muwekezaji Aina ya manji????
Binafsi kwangu muwekezaji kutoka Asia Ni mwarabu tu baada ya mzungu.
Wengine wote janja janja tu,akawekeze nchi zingine hukooo na si uwekezaji wa namna ya wahindi/wapakistan Hawa waliopo Africa.
Mpaka kichefuchefu
Huyu Tajiri Yusuf Manji yuko wapi siku hizi, je kampuni zake zinaendelea kutoa ajira kwa vijana?
Siku zote uwa sikubaliani na sera za CCM hasa masuala ya uwekezaji,sikukubaliana hasa na sera na mtazamo wa mwendazake JPM.
Ila kwa suala la wawekezaji aina ya Manji,nilimuunga mkono sana JPM,
Manji hakuwa mwekezaji bali alikuwa ni fisadi hasa,akishirikiana na baadhi ya watendaji wa serikali,watendaji wa chama cha CCM na baadhi ya viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wasio waaminifu.
Ni vile watanzania wengi ni wavivu wa kusoma na kufatilia taarifa za nchi yao,Manji alikuwa ni muhuni tu.
Angalau yeye kaajiri watanzania je ww umechangia nn kama mtanzania katika taifa hili badala ya kutujazia mavi kwenye ardhi yetu kupelekea magonjwa kama corona na kipindupindu?Wapinzani mnamtamani kanji Tena!! Tuna upinzani wa kipuuzi Tz Zaid ya Africa nzima.
Yani leo mnamtamani muwekezaji Aina ya manji????
Binafsi kwangu muwekezaji kutoka Asia Ni mwarabu tu baada ya mzungu.
Wengine wote janja janja tu,akawekeze nchi zingine hukooo na si uwekezaji wa namna ya wahindi/wapakistan Hawa waliopo Africa.
Mpaka kichefuchefu