Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

Yupo wapi! Raisi mtaafu J.Kikwete.???

Huyo ndo raisi wako, shadow president, upumbavu wote unaoendelea nchini kwa sasa ni yeye
 
Haters hata wafanye nn lazima wajikute wanalitamka jina jk......akiwepo watalitamka, asikuwepo watalitamka pia. Huyo ndo jk; ukimtukana anakulaushia kwani anakuona ni kichinda tu flani.
 
Back
Top Bottom