King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,644
KWANI MANGE KASEMAJE KUHUSU WALINZI WANAOMLINDA MKOLOMIJE SI KUTOKA RWANDA AU KASEMAJE KWANI MANGE?Habari wanajukwaa wa siasa.
Kuna Dada moja makini sana alikuwa ktk safu ya ulinzi wa Rais Kikwete ktk siku zake za mwishomwisho wa Urais. Baadae pia alionekana akiwa na Rais Magufuli ktk siku zake za awali za urais.
Baadae alipotea ghafla na haonekani tena ktk safu ya ulinzi wa Kiongozi Mkuu. Sijui kaenda kusoma au? Binafsi nilikuwa namkubali sana na niseme tu nimemmisi sana jasusi huyu.
Enzi za Gadafi wanawake ndiyo humlinda Rais kwani inadaiwa huwa ni Makini kuliko wanaume. Kumbukuka walinzi wake maarufu kwa jina la Amazonian Girls.
Ni kwanini walinzi wa Rwanda wanatajwa sana kwenye hii nyumba nyeupe??Kuna mgongano kwa kiprotokali kwenye PSU kwa yeye kuwa pale.
The rest is the so called "state secret".
SijamboHujambo
Sijamfuatilia kama mke bali kama mlinzi Makini.Yes! Kwani una mahusiano gani naye hadi umfuatilie mke wa mtu mwenye mitandao? Au tuje kukutembelea hapo home kwako?
Kweli tena huu mtihaniSasa hapo mkuu unataka tuchangie nini? Kutafutiana mitihani tu.
Kakatize magogoni japo lugha gongana lakini mtaelewana na utawauliza vizuriNi kwanini walinzi wa Rwanda wanatajwa sana kwenye hii nyumba nyeupe??
Kumbe msemaji mkuu wa Tanzania yetu hii kawa mange ..... where does she get the information?KWANI MANGE KASEMAJE KUHUSU WALINZI WANAOMLINDA MKOLOMIJE SI KUTOKA RWANDA AU KASEMAJE KWANI MANGE?
Cc: MangeKimambiKumbe msemaji mkuu wa Tanzania yetu hii kawa mange ..... where does she get the information?
Hahahahahhahaah eti Vasco Da GamaWeka picha tumuone!
Huenda atakua Msoga huko na Vasco da Gama
HAHAAASasa hapo mkuu unataka tuchangie nini? Kutafutiana mitihani tu.
Kule Norway kuna kiongozi mkubwa wa serikali alipendwa na wananchi hadi akaamua kusema haitaji kulindwa tena na akawa anatembea hata kwa miguu mjini bila walinzi. Cha ajabu wananchi haohao wampendao walimtwanga risasi.Hivi kama Rais kweli anapendwa na watu kwa nini awe na ulinzi mkali na anajinasibu anapendwa
Saivi anakumbukwa sana na wengi wa watu.Hahahahahhahaah eti Vasco Da Gama