Yupo wapi mwanadada huyu Makini wa kitengo nyeti?

Yupo wapi mwanadada huyu Makini wa kitengo nyeti?

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,810
Reaction score
7,696
Habari wanajukwaa wa siasa.

Kuna Dada moja makini sana alikuwa ktk safu ya ulinzi wa Rais Kikwete ktk siku zake za mwishomwisho wa Urais. Baadae pia alionekana akiwa na Rais Magufuli ktk siku zake za awali za urais.

Baadae alipotea ghafla na haonekani tena ktk safu ya ulinzi wa Kiongozi Mkuu. Sijui kaenda kusoma au? Binafsi nilikuwa namkubali sana na niseme tu nimemmisi sana jasusi huyu.

Enzi za Gadafi wanawake ndiyo humlinda Rais kwani inadaiwa huwa ni Makini kuliko wanaume. Kumbukuka walinzi wake maarufu kwa jina la Amazonian Girls.
 
Habari wanajukwaa wa siasa.

Kuna Dada moja makini sana alikuwa ktk safu ya ulinzi wa Rais Kikwete ktk siku zake za mwishomwisho wa Urais. Baadae pia alionekana akiwa na Rais Magufuli ktk siku zake za awali za urais.

Baadae alipotea ghafla na haonekani tena ktk safu ya ulinzi wa Kiongozi Mkuu. Sijui kaenda kusoma au? Binafsi nilikuwa namkubali sana na niseme tu nimemisi sana jasusi huyu.

Enzi za Gadafi wanawake ndiyo humlinda Rais kwani inadaiwa huwa ni Makini kuliko wanaume. Kumbukuka walinzi wake maarufu kwa jina la Amazonian Girls.
Nenda pale Knyama getini ulizia watakujibu au karibu Mbweni
Au ingia hapa MITAA YA ST P
Au pale jirani na Agakani

Au bado hijui jina lake....
Ukimkosa nenda Mjengon pale Ddm

Na uwe na Maelezo yakutosha....na Sababu za kumuulizia

Angalia....ucje ukauliza BS8 alipo....
Au ukauliza chumba cha kulala wahaini....
Angalia usije ukaokotwa comoros

Uwe makini na maswali yako
Walinzi huamishwa vituo au kupangiwa majukumu Mengine....
Sasa naona umefurahi.
 
Nenda pale Knyama getini ulizia watakujibu au karibu Mbweni
Au ingia hapa MITAA YA ST P
Au pale jirani na Agakani

Au bado hijui jina lake....
Ukimkosa nenda Mjengon pale Ddm

Na uwe na Maelezo yakutosha....na Sababu za kumuulizia

Angalia....ucje ukauliza BS8 alipo....
Au ukauliza chumba cha kulala wahaini....
Angalia usije ukaokotwa comoros

Uwe makini na maswali yako
Walinzi huamishwa vituo au kupangiwa majukumu Mengine....
Sasa naona umefurahi.
Umenipa mwanga mdau, ni lazima niulize walinzi wa viongozi wetu wakuu haswa pale napomkubali.
 
Hata mimi sijui mkuu, ngoja waje wengine
 
Back
Top Bottom