Yupo wapi mwanadada huyu Makini wa kitengo nyeti?

Yupo wapi mwanadada huyu Makini wa kitengo nyeti?

Kule Norway kuna kiongozi mkubwa wa serikali alipendwa na wananchi hadi akaamua kusema haitaji kulindwa tena na akawa anatembea hata kwa miguu mjini bila walinzi. Cha ajabu wananchi haohao wampendao walimtwanga risasi.
Ilikuwa ni Sweden. Waziri mkuu wao aliyeitwa Olof Palme. Aliuwawa na mabeberu waliopinga msimamo wake wa kusaidia harakati za ukombozi kusini mwa afrika miaka ile. Aliuwawa jijini Stockholm akitoka kuangalia sinema yeye na mkewe bila walinzi.
 
mimi namkubali huyu. ni wa mama samia S.
na kama hajaolewa naombeni njia za kuweza kumpata nifikishe yangu ya moyoni
IMG_20180311_203833_954.JPG
 
Habari wanajukwaa wa siasa.

Kuna Dada moja makini sana alikuwa ktk safu ya ulinzi wa Rais Kikwete ktk siku zake za mwishomwisho wa Urais. Baadae pia alionekana akiwa na Rais Magufuli ktk siku zake za awali za urais.

Baadae alipotea ghafla na haonekani tena ktk safu ya ulinzi wa Kiongozi Mkuu. Sijui kaenda kusoma au? Binafsi nilikuwa namkubali sana na niseme tu nimemmisi sana jasusi huyu.

Enzi za Gadafi wanawake ndiyo humlinda Rais kwani inadaiwa huwa ni Makini kuliko wanaume. Kumbukuka walinzi wake maarufu kwa jina la Amazonian Girls.
Alifanya tukio moja la kishujaa sana, waulize watu wa jumba jeupe wakusimulie.
 
Habari wanajukwaa wa siasa.

Kuna Dada moja makini sana alikuwa ktk safu ya ulinzi wa Rais Kikwete ktk siku zake za mwishomwisho wa Urais. Baadae pia alionekana akiwa na Rais Magufuli ktk siku zake za awali za urais.

Baadae alipotea ghafla na haonekani tena ktk safu ya ulinzi wa Kiongozi Mkuu. Sijui kaenda kusoma au? Binafsi nilikuwa namkubali sana na niseme tu nimemmisi sana jasusi huyu.

Enzi za Gadafi wanawake ndiyo humlinda Rais kwani inadaiwa huwa ni Makini kuliko wanaume. Kumbukuka walinzi wake maarufu kwa jina la Amazonian Girls.


Kikwete alishamweka ndani, hakutaka achukuliwe na wewe.....kwani ulitakaje?
 
Back
Top Bottom