KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 36,516
- 89,013
Ngumu Sana kutembelea mkongojo wa sukari lazima utaula tu..😋Hawa watu huwa makini usipime. Mi nkija kuwa Rais nitalindwa na wanawake tupu.
Ngumu Sana kutembelea mkongojo wa sukari lazima utaula tu..😋Hawa watu huwa makini usipime. Mi nkija kuwa Rais nitalindwa na wanawake tupu.
aaaahhhhhaaaaaaNgumu Sana kutembelea mkongojo wa sukari lazima utaula tu..😋
Wale wengine baada ya msiba sijui watapelekwa wapi, naarifiwa mmoja kashakuwa DSO wilaya fulani.
Ukiona M-bongo anatapika hadi dagaa,ujue kweli anaumwa.Hawa watu huwa makini usipime. Mi nkija kuwa Rais nitalindwa na wanawake tupu.
Naona bado yuko nae huyumimi namkubali huyu. ni wa mama samia S.
na kama hajaolewa naombeni njia za kuweza kumpata nifikishe yangu ya moyoni
View attachment 711622
Nadhani uzuri upo kwa mtazamaji mwenyeweDuh...Kwahiyo hii nayo ni pisi mnazoziongrlea kila siku pisi ...pisi...UTOPOLO kabisaa huu