Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,810
- 7,696
- Thread starter
- #61
Shukurani kwa masahihisho.Ilikuwa ni Sweden. Waziri mkuu wao aliyeitwa Olof Palme. Aliuwawa na mabeberu waliopinga msimamo wake wa kusaidia harakati za ukombozi kusini mwa afrika miaka ile. Aliuwawa jijini Stockholm akitoka kuangalia sinema yeye na mkewe bila walinzi.