maramia
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 2,029
- 1,345
Kwa lipi tena mbona sijawahi kusikia mwana wa Nyerere ana kashfa?anasubiru kutumbuliwa
Usimpakazie mwalimu hakuzaa fisadi kama ...
Kwa lipi tena mbona sijawahi kusikia mwana wa Nyerere ana kashfa?anasubiru kutumbuliwa
Hivi wewe Andrew, Mako ni kaka yako au mtani wako? Hudhani kama atakuwa sober kivipi?Nitamtafuta Makongoro baadae aje kujibu. Lakini leo Jumamosi sidhani kama atakuwa sober.
Andrew Nyerere huwa ananivunja mbavu sana na michango yake. Kwake, black anaita black. White anaita white. Hababaishi wala kumung'unya maneno. Bravo Uncle Andrew!!!!

Makongoro yupo hapa Msasani. Nimemuona sasa hivi anaelekea kwake ,unajua hii ni family compound,kwa hiyo yupo kule kwake,na kama ulivyosema hapendi kulala peke yake,naona yupo malaika mlinzi anafuata nyuma.
malaika mlinziMakongoro aliingizwa mkenge na JK! Lakini alizifaidi zile pesa angalau miezi 3 ile alikunywa na kula hela ya serikali! JK msanii hajawahi kutokea mwingine zaidi yake! Watia nia wote aliwapa moyo kuwa lazima wangefika mbali! Yaani JK acha kbs! Hata Wassira aliingia cha kike akajua sasa urais huu hapa! Akafie Ikulu! Hahaha daaa kuna watu na viatu humu duniani
Gundua kuwa Nyerere wote wana good sense of humor. Hapo nyie mlio zoea mtukio ndo mta tafsiri vingine. Ila me I see typical nyerere in those words.Hii ID nadhani ni fake au inaingiliwa,sina hakika kama Andrew,the jet fighter pilot kuandika hivi dhidi ya nduguye,lazima kuna jambo....ila naskia Serikalia hii haiwataki Nyerere 's kwa kuogopa kkufunikwa na kukosolewa hadharani ndo maana woote wamepigwa kimya na ni ka mkakati...japo sina hakika ila Kwa kuwa Mokongoro nae hupitagga humu atatuambia kama ni kweli au ni blah blah
Kwa hiyo magufuli kawekwa Na system? Acha uongo wewe
anasubiru kutumbuliwa
Hahaa endrew buana.... olagamba kisubhe....Makongoro yupo hapa Msasani. Nimemuona sasa hivi anaelekea kwake ,unajua hii ni family compound,kwa hiyo yupo kule kwake,na kama ulivyosema hapendi kulala peke yake,naona yupo malaika mlinzi anafuata nyuma.
sasa mkuu!! kama Magu hakuwekwa na 'system'ilikuwaje JK kaingia na list ya majina yake matano likiwemo la Magufuli?hii imekaajeKwa hiyo magufuli kawekwa Na system? Acha uongo wewe
Chaguo la mkwere fisadi ilikuwa ni Membe au February.... Wengine ilikuwa kumpoteza mbwa njia tusasa mkuu!! kama Magu hakuwekwa na 'system'ilikuwaje JK kaingia na list ya majina yake matano likiwemo la Magufuli?hii imekaaje
Miaka ya nyuma pale wizara ya mambo ya ndani ulikuwa ukikatiza barabarani unaona jengo moja lenye rangi nyekundu. Kwa habari nyeti za wakati ule, mle ndani ya hiyo nyumba ndipo kulikuwa na chumba chenyewe cha mateso, watu wa kazi ndio walikuwa wanawaminya wale wenye siri ili ziweze kuanikwa hadharani. System imefanya kazi nzito sana kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Jamaa wanastahili mkono wa pongezi.Wale Wezi wa Mtandao wa Lowassa waliokusanywa na Bashir Awale walisambaratishwa na nani? Wee unadhan kitu gani kilifanywa kuzuia Wafia Lowassa ndan ya CCM wasihame kumfuata?Wale wabunge 80 na Wenyeviti wa mikoa 30 unajua kilichowafanya wabadili mawazo kumfuata Lowassa? Achana na kitu kinaitwa System. Mbowe haamini kama kabaki kuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni alikuwa yeye ndio Majaliwa wa Awamu ya tano chini ya Lowassa
Malaika mlinzi, okMakongoro yupo hapa Msasani. Nimemuona sasa hivi anaelekea kwake ,unajua hii ni family compound,kwa hiyo yupo kule kwake,na kama ulivyosema hapendi kulala peke yake,naona yupo malaika mlinzi anafuata nyuma.