Yupo wapi Makongoro Nyerere kada wa CCM?

Yupo wapi Makongoro Nyerere kada wa CCM?

Huu uzi Andrew kauteka kila anachoandika kinageuka hoja...
 
Nitamtafuta Makongoro baadae aje kujibu. Lakini leo Jumamosi sidhani kama atakuwa sober.
Hivi wewe Andrew, Mako ni kaka yako au mtani wako? Hudhani kama atakuwa sober kivipi?
Ngoja nijipitie zangu waswahili wa Pemba hujuana kwa vilemba. Nadhani wanajuana hao.
 
Makongoro yupo hapa Msasani. Nimemuona sasa hivi anaelekea kwake ,unajua hii ni family compound,kwa hiyo yupo kule kwake,na kama ulivyosema hapendi kulala peke yake,naona yupo malaika mlinzi anafuata nyuma.
malaika mlinzi
 
Makongoro aliingizwa mkenge na JK! Lakini alizifaidi zile pesa angalau miezi 3 ile alikunywa na kula hela ya serikali! JK msanii hajawahi kutokea mwingine zaidi yake! Watia nia wote aliwapa moyo kuwa lazima wangefika mbali! Yaani JK acha kbs! Hata Wassira aliingia cha kike akajua sasa urais huu hapa! Akafie Ikulu! Hahaha daaa kuna watu na viatu humu duniani

Kuna Wahuni walitumwa Zanzibar kwenda kumtapeli Jaji Augustine Ramadhani kuwa Mzee kasema kachukue form kwa kuwa hii itakuwa zamu ya Zanzibar na Mkristo.Lengo hasa lilikuwa kuivuruga kambi ya Lowassa isijue nani hasa kaandaliwa na system na kweli wakachanganyikiwa wasijue nani wamdhibiti wakabaki wanakufa na Membe. Nchi hii haitopata Check bob kama huyu Mkwere, Nguvu kiasi ujanja ujanja mwingi
 
Ina maana mpaka leo huja
Hii ID nadhani ni fake au inaingiliwa,sina hakika kama Andrew,the jet fighter pilot kuandika hivi dhidi ya nduguye,lazima kuna jambo....ila naskia Serikalia hii haiwataki Nyerere 's kwa kuogopa kkufunikwa na kukosolewa hadharani ndo maana woote wamepigwa kimya na ni ka mkakati...japo sina hakika ila Kwa kuwa Mokongoro nae hupitagga humu atatuambia kama ni kweli au ni blah blah
Gundua kuwa Nyerere wote wana good sense of humor. Hapo nyie mlio zoea mtukio ndo mta tafsiri vingine. Ila me I see typical nyerere in those words.
 
Kwa hiyo magufuli kawekwa Na system? Acha uongo wewe

Wale Wezi wa Mtandao wa Lowassa waliokusanywa na Bashir Awale walisambaratishwa na nani? Wee unadhan kitu gani kilifanywa kuzuia Wafia Lowassa ndan ya CCM wasihame kumfuata?Wale wabunge 80 na Wenyeviti wa mikoa 30 unajua kilichowafanya wabadili mawazo kumfuata Lowassa? Achana na kitu kinaitwa System. Mbowe haamini kama kabaki kuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni alikuwa yeye ndio Majaliwa wa Awamu ya tano chini ya Lowassa
 
Makongoro yupo hapa Msasani. Nimemuona sasa hivi anaelekea kwake ,unajua hii ni family compound,kwa hiyo yupo kule kwake,na kama ulivyosema hapendi kulala peke yake,naona yupo malaika mlinzi anafuata nyuma.
Hahaa endrew buana.... olagamba kisubhe....
 
sasa mkuu!! kama Magu hakuwekwa na 'system'ilikuwaje JK kaingia na list ya majina yake matano likiwemo la Magufuli?hii imekaaje
Chaguo la mkwere fisadi ilikuwa ni Membe au February.... Wengine ilikuwa kumpoteza mbwa njia tu

Mkapa ndie aliyelazimisha Magufuli awepo kwenye tano bora
 
Subiri Magu apewe uenyekiti ndo utaona anapewa cheo chamani
 
Wale Wezi wa Mtandao wa Lowassa waliokusanywa na Bashir Awale walisambaratishwa na nani? Wee unadhan kitu gani kilifanywa kuzuia Wafia Lowassa ndan ya CCM wasihame kumfuata?Wale wabunge 80 na Wenyeviti wa mikoa 30 unajua kilichowafanya wabadili mawazo kumfuata Lowassa? Achana na kitu kinaitwa System. Mbowe haamini kama kabaki kuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni alikuwa yeye ndio Majaliwa wa Awamu ya tano chini ya Lowassa
Miaka ya nyuma pale wizara ya mambo ya ndani ulikuwa ukikatiza barabarani unaona jengo moja lenye rangi nyekundu. Kwa habari nyeti za wakati ule, mle ndani ya hiyo nyumba ndipo kulikuwa na chumba chenyewe cha mateso, watu wa kazi ndio walikuwa wanawaminya wale wenye siri ili ziweze kuanikwa hadharani. System imefanya kazi nzito sana kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Jamaa wanastahili mkono wa pongezi.
 
Makongoro yupo hapa Msasani. Nimemuona sasa hivi anaelekea kwake ,unajua hii ni family compound,kwa hiyo yupo kule kwake,na kama ulivyosema hapendi kulala peke yake,naona yupo malaika mlinzi anafuata nyuma.
Malaika mlinzi, ok
 
Makaburi ya ukoo wa hayati Baba wa Taifa...Mwl J K Nyerere yako Butiama na mizimu na mitambo ni huko huko.
 
naona hapa hapanifai, ngoja niende zangu kwa MAKAPUKU FORUM wenzangu
 
Back
Top Bottom