Yupo wapi Makongoro Nyerere kada wa CCM?

Yupo wapi Makongoro Nyerere kada wa CCM?

Nimeshtushwa Na ukimya wa Kada maarufu wa CCM aliyeipigania CCM Kwa nguvu zake zote mpaka akadiriki kukufuru Kwa kuwabeza Na kuwatukana matusi wanasiasi wenzake akiwemo Mzee Steven Wassira aliyeshindwa ubunge Na Binti Bulaya kama haitoshi akamtukana Kamanda Mzee Lowassa.

Tunaomba ajitokeze huko mafichoni azungumzie hata haya MAJIPU yanayotumbuliwa au kachukia ule mchujo wa kumpata mgombea wa CCM ulioendeshwa Kule Dodoma?
Katibu mpya wa chama, subiri june
 
Siku nyingine kama huna uhakika wa jambo ni vyema tu ukauchuna kuliko kukurupuka kwani utazidi kudharaulika. Kwa kukusaidia tu ni kwamba THINK TANKS wa Rais wako sasa ni wale wazee mahiri waliokuwa wasaidizi wa karibu wa Mwalimu Nyerere ( siwezi kuwataja majina kwa umuhimu na unyeti wao ) na wakisaidiana na Kiongozi wako mmoja mstaafu na baadhi ya watu aliokuwa nao. Hakuna mtu ambaye Rais wako haipiti siku lazima amjulie hali au hata aombe kuonana nae kama Mama Maria Nyerere na Rais wako anamuheshimu huyu Mama kama ambavyo anamuheshimu Mama yake na hata ushauri pia huomba kutoka kwake kisha unafanyiwa kazi na Wataalam. Kuna mengine ngoja niyamezee tu mate kwani yamekaa KIITIFAKI zaidi na jamaa karudi jana tu kutoka huku kwetu Kigali. Huyo Makongoro kuna kazi MAALUM na yeye atapewa na ukimya wake ni wa KIMKAKATI zaidi kutoka " eagle wing house ". Naomba niishie hapa niwahi zangu sasa kumshangilia Mwarabu leo taifa!
We nawe si uende amahoro utuachie mambo yetu?
 
Makongoro alinimaliza pale Dodoma alipomaliza kuhutubia kwenye kampeni akawaambia wakazi wa Dodoma anaomba atafutiwe wa kwenda kulala naye kwakua usiku akilala mwenyewe anaogopa!
Hawa watu wa Musoma ni wahuni sana ndiyo maana wanaoa wanawake wawil na kuendelea.Ni wapuuz sana
 
Makongoro alinimaliza pale Dodoma alipomaliza kuhutubia kwenye kampeni akawaambia wakazi wa Dodoma anaomba atafutiwe wa kwenda kulala naye kwakua usiku akilala mwenyewe anaogopa!
Hahahaaaaaaaaaaaaa
 
Wakuu wa mikoa si tayari walishateuliwa mkuu? Au una maana mkuu wa Wilaya?!
Mako
Ni mbunge wa East Africa, uDC ni kitu kidogo sana hasa ukizingatia alikuwa kwenye status ya u president wa nchi.
 
Andrew Nyerere huwa ananivunja mbavu sana na michango yake. Kwake, black anaita black. White anaita white. Hababaishi wala kumung'unya maneno. Bravo Uncle Andrew!!!!
Hahaaha huyu Andrew Nyerere ni shida japo kuna wakati nae anakuwa kama zinafyatuka
Hivi huyu ni kaka yako au jina tu kama lilivyo lile la Yeriko nyerere?
Ni kama yake kabisa kwasasa nadhani huyu ndio mtoto wa kiume mkubwa aliyebakia... So Makongoro anamuita Andrew kaka kabisa
 
Kuna mnyarwanda anakurupuka,yaaani kutupa vi ndama vitano ndo umekuwa juu,ndo aana jk aliwachukia
 
Siku nyingine kama huna uhakika wa jambo ni vyema tu ukauchuna kuliko kukurupuka kwani utazidi kudharaulika. Kwa kukusaidia tu ni kwamba THINK TANKS wa Rais wako sasa ni wale wazee mahiri waliokuwa wasaidizi wa karibu wa Mwalimu Nyerere ( siwezi kuwataja majina kwa umuhimu na unyeti wao ) na wakisaidiana na Kiongozi wako mmoja mstaafu na baadhi ya watu aliokuwa nao. Hakuna mtu ambaye Rais wako haipiti siku lazima amjulie hali au hata aombe kuonana nae kama Mama Maria Nyerere na Rais wako anamuheshimu huyu Mama kama ambavyo anamuheshimu Mama yake na hata ushauri pia huomba kutoka kwake kisha unafanyiwa kazi na Wataalam. Kuna mengine ngoja niyamezee tu mate kwani yamekaa KIITIFAKI zaidi na jamaa karudi jana tu kutoka huku kwetu Kigali. Huyo Makongoro kuna kazi MAALUM na yeye atapewa na ukimya wake ni wa KIMKAKATI zaidi kutoka " eagle wing house ". Naomba niishie hapa niwahi zangu sasa kumshangilia Mwarabu leo taifa!
Hii ni jeuri ya vile vi ndama vyenu vitano,kaa kimya wewe
 
Hahaaha huyu Andrew Nyerere ni shida japo kuna wakati nae anakuwa kama zinafyatuka

Ni kama yake kabisa kwasasa nadhani huyu ndio mtoto wa kiume mkubwa aliyebakia... So Makongoro anamuita Andrew kaka kabisa
Basi Andrew ni mkweli sana na ana roho ya peke yake
 
Back
Top Bottom