LEO OJIJO MESSI
Member
- Jan 27, 2015
- 50
- 70
Kwako M/Kiti Taifa,
Salaaam,
Mimi kama mwanachama hai wa CCM na mtiifu kwa chama changu, naomba kutoa pendekezo la kumteua Bwana Charles Makongoro Nyerere kuwa katibu mkuu wa chama chetu, naamini ktk weledi wake na uwezo wa kujenga hoja za kisiasa hususani uwezo wa kujibu na kuhimili hoja za washindani wetu a.k.a wapinzani na pia anaufahamu vizuri upinzani.
Pia Makongoro ni mwadilifu sana ukimweka kwenye kundi la waadilifu. Nachelea kusema kwamba atafanya kazi nzuri sana kwa fikra zangu maana najaribu kuanagalia mtu sahihi wa kuvaa viatu vya Baba yetu Kinana sioni naona watu waliojaa upambe,unafiki,uchu wa madaraka,uzandiki,wanaojipendekeza na wachumia tumbo kitu ambacho hukipenda wewe Mzee Magufuli.
Binafsi sitoagi uzi wa kijanga kwenye hii platform ila kwa kitu maalum, rejea Uzi zangu za nyuma.
CCM Daima!!!!
Nawasilisha.
Salaaam,
Mimi kama mwanachama hai wa CCM na mtiifu kwa chama changu, naomba kutoa pendekezo la kumteua Bwana Charles Makongoro Nyerere kuwa katibu mkuu wa chama chetu, naamini ktk weledi wake na uwezo wa kujenga hoja za kisiasa hususani uwezo wa kujibu na kuhimili hoja za washindani wetu a.k.a wapinzani na pia anaufahamu vizuri upinzani.
Pia Makongoro ni mwadilifu sana ukimweka kwenye kundi la waadilifu. Nachelea kusema kwamba atafanya kazi nzuri sana kwa fikra zangu maana najaribu kuanagalia mtu sahihi wa kuvaa viatu vya Baba yetu Kinana sioni naona watu waliojaa upambe,unafiki,uchu wa madaraka,uzandiki,wanaojipendekeza na wachumia tumbo kitu ambacho hukipenda wewe Mzee Magufuli.
Binafsi sitoagi uzi wa kijanga kwenye hii platform ila kwa kitu maalum, rejea Uzi zangu za nyuma.
CCM Daima!!!!
Nawasilisha.