Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,138
- 7,398
Leo Mako akiingia JF lazima akagombane na kaka yake
Hahahaha malaika mlinzi.... Si useme yupo matingasiMakongoro yupo hapa Msasani. Nimemuona sasa hivi anaelekea kwake ,unajua hii ni family compound,kwa hiyo yupo kule kwake,na kama ulivyosema hapendi kulala peke yake,naona yupo malaika mlinzi anafuata nyuma.
Hujamuelewa, hiyo malaika mlinzi inamaanisha demu.Hahahaha malaika mlinzi.... Si useme yupo matingasi
Hahahaha huyu bwana mbona anamuabishi nduguyeHujamuelewa, hiyo malaika mlinzi inamaanisha demu.
Kamsalimie rais bitoznaona hapa hapanifai, ngoja niende zangu kwa MAKAPUKU FORUM wenzangu
![]()
![]()
![]()
Wakati JPM anakula pale airport Mwanza nilichungulia kwenye note book yake kulikuwa na andiko hili;Subiri Magu apewe uenyekiti ndo utaona anapewa cheo chamani
Alijua atatumia umaarufu wa mzee ili watanzania wamwaminiNimeshtushwa Na ukimya wa Kada maarufu wa CCM aliyeipigania CCM Kwa nguvu zake zote mpaka akadiriki kukufuru Kwa kuwabeza Na kuwatukana matusi wanasiasi wenzake akiwemo Mzee Steven Wassira aliyeshindwa ubunge Na Binti Bulaya kama haitoshi akamtukana Kamanda Mzee Lowassa.
Tunaomba ajitokeze huko mafichoni azungumzie hata haya MAJIPU yanayotumbuliwa au kachukia ule mchujo wa kumpata mgombea wa CCM ulioendeshwa Kule Dodoma?