Na ujue alifanya kazi kubwa baada ya kuondoka tuu shule iliyumba sana na matokeo yakaanza kuporomoka kwa kutishaNaam aliifanya shule kuwa na nidhamu iliyotukuka kwa maana kwa baadhi ya wanafunzi walishashindikana huko walipotoka ila pale walinyooka..
na pale yeye alikuwa hajali kama wewe ni mtoto wa mkubwa wala nini
Ni mwendo wa nidhamu na usmart