Ulisoma o-level kwa miaka 5?Head Master wangu Jitegemee machachari sana enzi hizo za 1994-1998
Head Master wangu Jitegemee machachari sana enzi hizo za 1994-1998
Mkuu kweli kabisa maana miaka yetu ufaulu ulikuw ajuu sana na Massawe alikuw amoto kuhakikisha nidhamu na kuzingatia viwango vya kuhama darasa moja kwenda jingineMr Rocky inawezekana mkuu maana sisi ndo tulio leta mapinduzi ya ufaulu Jitegemee enzi hizo
dah fimbo za pale zilikuwa hatari sana mkuu ila ilikuwa shule poa sana sema vimeo walikuwa wengi sanaMkuu kweli kabisa maana miaka yetu ufaulu ulikuw ajuu sana na Massawe alikuw amoto kuhakikisha nidhamu na kuzingatia viwango vya kuhama darasa moja kwenda jingine
Vimeo walikuwa wengi si unajua watoto wa wakubwa wa serikali wengine wakubwa wa jeshidah fimbo za pale zilikuwa hatari sana mkuu ila ilikuwa shule poa sana sema vimeo walikuwa wengi sana
Ila zilitufundisha mengi sanaDah fimbo za Wajadi hatari sana
Ile shule ilikuwa na kila kitu na walimu wazuri sana. Library ilikuwa na kila kitu lab poa kabisaIla zilitufundisha mengi sana
ile discipline ya pale na usafi na kuwa smart muda wote dah maisha ta pale yalikuwa bomba sana
masharobaro waliokuja kuingia baada ya Massawe waliiharribu sana shule na matokeo yakawa mabaya kila mwaka mpaka sasa Jitegemee ziro zinakuw anyingi haswaIle shule ilikuwa na kila kitu na walimu wazuri sana. Library ilikuwa na kila kitu lab poa kabisa
Bila shaka tulisoma wote 1994-1997...nilikuwa mchepuo wa sayansiMkuu Jidu sina kumbukumbu ya Olevel tulikuwa tunaanza lini na tunamaliza lini but ndo muda niliosoma O-Level
mkuu unaona sasa mambo hayo. Hapa tu nimeshakutana na Mr Rocky tumepeana michapo mingi sana inbox ya JitegemeeBila shaka tulisoma wote 1994-1997...nilikuwa mchepuo wa sayansi
naona wengi wanaongezeka wanaomkumbuka Fabian MassaweBila shaka tulisoma wote 1994-1997...nilikuwa mchepuo wa sayansi
Naam rocky namfahamu maasawe kitambo toka nikiwa mdogo mdingi wangu alikuwa mjeda...nimeishi miaka mingi kambini toka enzi hizo anatumia pikipiki ya Honda...sijui kama watu wengi wanafahamu hilinaona wengi wanaongezeka wanaomkumbuka Fabian Massawe
Sisi tulimkuta Massawe kashakuwa mjanja ila akiwa smart sana mkuuNaam rocky namfahamu maasawe kitambo toka nikiwa mdogo mdingi wangu alikuwa mjeda...nimeishi miaka mingi kambini toka enzi hizo anatumia pikipiki ya Honda...sijui kama watu wengi wanafahamu hili
Naam aliifanya shule kuwa na nidhamu iliyotukuka kwa maana kwa baadhi ya wanafunzi walishashindikana huko walipotoka ila pale walinyooka..Sisi tulimkuta Massawe kashakuwa mjanja ila akiwa smart sana mkuu
Maana aliiiendesha shule ile vizuri sana na kwa matokeo na nidhamu ilikuwa juu sana
Mmmmhh yani katka viongozi nsiowakubali ni huyo mtajwa..cjui yukoje yeye anachekacheka tuu hajawah kuwa na sura ya kazi....in short cjawah one kiongozi m bovu kama huyoWanajavyi
Natamani kujua alipo Kanali Fabian Massawe.Ni mmojawapo wa watu niliokuwa ninawakubali sana kwa utendaji wao..Sijui nini kilimkuta mtu huyu.ninaimani anafiti sana kwenye serikali hii ya hapa kazi tu.
Karibuni