Africa siasa ina umuhimu zaidi kuliko utendaji.
Nakumbuka alichaguliwaga kuwa balozi
Col Fabian Massawe , mtu freshi sana, mcheshi, mtendaji na hana hila za kisiasa.Wanajavyi
Natamani kujua alipo Kanali Fabian Massawe.Ni mmojawapo wa watu niliokuwa ninawakubali sana kwa utendaji wao..Sijui nini kilimkuta mtu huyu.ninaimani anafiti sana kwenye serikali hii ya hapa kazi tu.
Karibuni
Alex Massaweusisahau kumwambia kuna Massawe mwenzake nimemsalimia huku
kidumu chama cha mapinduziTujifunze kwa akina mama, wakienda kuteka maji, hujitwisha ndoo kichwani lakini wakati huohuo hushika kidumu mkononi