Yupo wapi bibie Faiza Foxy

Kubwjing

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2025
Posts
1,787
Reaction score
2,665
Mahabuba wangu, furaya ya nafsi yangu na manukato wa moyo wangu...

Mara ya mwisho uliniahidi wanifuata Zanzibar baada ya swallat jumaa siku kama ya leo ila hukuja

Kwa anayejua alipo Bibi yenu Gen Z na Mama au Dada wa wengine humu anijuze kwani katika mawasiliano yake hapatikani ati
 
Tumemwapiasha au sijui nasema nini
 
Huyo nimemkimbiza JF baada ya yeye kusikia hoja zangu kuhusu Uislamu na yule muhuni wake mtukufu wa daraja na kuanza kugundua kuwa mudi boy si lolote si chochote ....siyo yeyetu kuna akina adriz Malaria 2 Al-mukheef Jagina Covax Mufti kuku The Infinity wote hao nilio wataja walikuwa na hoja kila siku kuhusu dini ya kweli ...na maswal8 kibao ya kuoji ukristo ...sikuizi wote kimya ....
NILIWAAMBIA WATU HAPA KUWA TOFAUTI NA TATIZO LA UISLAMU NA UKRISTO NI KWAMBA

1)UISLAMU NDIYO UNAO WAPOTOSHA WAISLAMU ...

bali kwenye ukristo ni tofauti.

2)WAKRISTO NDIYO WANAO UPOTOSHA UKRISTO.
 

Kwani ukristo ndio nini ??
 
Kwani hukupokea kadi ya mualiko wa harusi? Mbona yupo ndani kwa sasa anapika na kuliwa bila longolongo.
 
Yupo chamwuno dodoma..
Naomba niishie hapo
 
Huyo Faiza ndo yule sheikh sharifu majini aliyetangulizwa mbele za haki,hamtamuona Tena jf
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…