Huyo nimemkimbiza JF baada ya yeye kusikia hoja zangu kuhusu Uislamu na yule muhuni wake mtukufu wa daraja na kuanza kugundua kuwa mudi boy si lolote si chochote ....siyo yeyetu kuna akina
adriz Malaria 2 Al-mukheef Jagina Covax Mufti kuku The Infinity wote hao nilio wataja walikuwa na hoja kila siku kuhusu dini ya kweli ...na maswal8 kibao ya kuoji ukristo ...sikuizi wote kimya ....
NILIWAAMBIA WATU HAPA KUWA TOFAUTI NA TATIZO LA UISLAMU NA UKRISTO NI KWAMBA
1)UISLAMU NDIYO UNAO WAPOTOSHA WAISLAMU ...
bali kwenye ukristo ni tofauti.
2)WAKRISTO NDIYO WANAO UPOTOSHA UKRISTO.