bado bwana, na nimeona hapo juu kuna watu viroho vinawadunda, watajie tu wajue, na mimi unitaarifu ili nije nimpigie makofi mshindiBado kuona Fixed Point....wewe ?
charminglady Usihofu upo kwenye TOP 3
charminglady Usihofu upo kwenye TOP 3
charminglady Umeona eeh karibia nitavunja kikombeMh, haya bana lkn afadhali saiv kaROHO kameanza kuscroll down........
Judgement acha ku-judge mapema.... mambo bado kidogo..................Halafu nimeona ushairi....vipi studio lini?The ealiear the better!
There is no tie in this competition! So far, us wadau we nid a scorer soon !
Juzi wakati nimeisoma barua ndani ya bahasha nikamtaja atakaeibuka kidedea , sijui hamkunielewa?
Hadi hapa si mwenye kuondoka na trophy keshakua wazi.
Ambae hajaona atakua machoNazi ntatamani hata nimtie konzi .
Fixed Point huyo msupuu nitamtaja tu at fixed time........subiri dakika sifuribado bwana, na nimeona hapo juu kuna watu viroho vinawadunda, watajie tu wajue, na mimi unitaarifu ili nije nimpigie makofi mshindi
Dah.....nitarejea huyo msupuu akitajwa!
Any tym tatizo ni mbumba!