platozoom
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 9,366
- 11,154
Nimempenda sana huyu binti/mama. Simjui hanijui.............ukiniuliza kwa nini sina sababu.
Ukiniuliza umempenda kimapenzi nitakujibu "sina hakika"....ukiniambia unampenda kama dada yako nitajibu "Wewe wasema"..............Basi tu yupo moyoni. Naanza kuwapa wasifu wake angalau unaoonekana JF:
1. Mcheshi kwenye maandishi yake ila si sana
2. Anapita sana chitchat na ni mdau mzuri tu
3. Ni kama alishawahi kuumizwa kwa kuporwa mchumba lakini mvumilivu
4. Hujibu hoja kwa kifupi lakini kwa namna ya kuvutia
5. Kuna mjamaa hapa JF anammendea lakini hajafanikiwa
6. Ndio ni binti/mama mzuri tu lakini inaonekana akikukamata kwenye anga zake itabidi ubadilishe ATM card kwa sababu itachakaa mapema.
Nawaachia kitendawili wana CHITCHAT mkitegue: Najua vizuri kuna wadada wengi tu hapa kama Mwali, Mamdenyi, Preta, sweetlady, Kongosho (? ), Erotica, CUTE, @chamingdly, @canatalisia......................na kadhalika, lakini sisemi yumo humo au hayumo!!!
Ukiniuliza umempenda kimapenzi nitakujibu "sina hakika"....ukiniambia unampenda kama dada yako nitajibu "Wewe wasema"..............Basi tu yupo moyoni. Naanza kuwapa wasifu wake angalau unaoonekana JF:
1. Mcheshi kwenye maandishi yake ila si sana
2. Anapita sana chitchat na ni mdau mzuri tu
3. Ni kama alishawahi kuumizwa kwa kuporwa mchumba lakini mvumilivu
4. Hujibu hoja kwa kifupi lakini kwa namna ya kuvutia
5. Kuna mjamaa hapa JF anammendea lakini hajafanikiwa
6. Ndio ni binti/mama mzuri tu lakini inaonekana akikukamata kwenye anga zake itabidi ubadilishe ATM card kwa sababu itachakaa mapema.
Nawaachia kitendawili wana CHITCHAT mkitegue: Najua vizuri kuna wadada wengi tu hapa kama Mwali, Mamdenyi, Preta, sweetlady, Kongosho (? ), Erotica, CUTE, @chamingdly, @canatalisia......................na kadhalika, lakini sisemi yumo humo au hayumo!!!
Last edited by a moderator: