Yupi anafaa kuwa mke kati ya hawa?

Yupi anafaa kuwa mke kati ya hawa?

We all have history:
1.Historia ya nyuma -haya ni matendo tuliyofanya.
2.Historia inayokuja -haya ni matendo tutayofanya.
Ukiwa unafanya itelinjesia kuwa makini kupima yaliyotokea na yatayotokea.
 
Kuacha mwanamke ajiendeshe na kukushinda ni ujinga wako, mi nikuoe afu uanze enda club si nitakupiga ukimbie
 
a) A
b) B
c) a) and b) ni sawa
d) hakuna jibu

Jibu langu ni d).
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wote hawafai, huyo A ndio kabisa sababu tabia zitajirudi ukubwani, vilevile huyo B pia, but atleast nitakuwa nimemzindua B mimi mwenyewe.
 
Huwezi kumhukumu mwenza Kwa matendo ya nyuma. Pengine angepata wa kumtuliza asingekuwa mapepe. A anastahili kuwa mke kwani hakuna jipya tena chini ya jua
 
A..ila dah hamu yote kibinadamu itakuwa imeniisha,nikifikiria usemi kuwa"alikua anagombaniwa"ntaendelea naye ila atumie nguvu za ziada kunishawishi kuwa she is not the same ol' thing..
 
me naaminigi kukaziwa demu ina umaaaa..... Ninge chukua A hata kwenye next life.....................kwan me pia sinna history,...
 
A ni a girl about town. Alianza sexual relationships akiwa na umri wa miaka 16, akiwa na miaka 17 alipata mimba, kwakuwa wazazi wake wanathamni elimu alipelekwa Aghakan Hospital mimba ilitolewa.

A amefika chuo na kuona wanaume wamemchezea sana, ameamua kuwa mlokole.
Umehangaika sana kuingiza mtongozo kwa A amekukubalia lakini kwa masharti kuwa hakuna sex mpaka ndoa. Kwakua unampenda A umekubaliana na hali.

Unaenda na A kwenye office party, mnakutana na rafiki aliyesoma na A Upanga primary. Jumatatu ofisini rafiki anakupa story za A alivyokua anagombaniwa enzi hizo. Moyo wako unakosa amani unaamua kumwacha A. Bila kosa.

Unaamua kutafuta ambae hana history. Umpata B, ambae ni bikra. Umemuoa B mmeanza maisha. Umesafiri marafiki wa B wamemfahamisha B kwa mkaka mwenye boutiques. Anaanza kumpa B magauni ya laki, B anataka kuwa wa mjini.

Anaanza kukitoa kwa mkaka na kupewa nguo za bure. Haishii hapo anampata na mwingine wa kujirusha, B hajawahi kwenda club maishani mwake. Kuona raha amezipenda. Hatimae wewe ni mwanaume wa nne kwa B na yuko kwenye ndoa na aliolewa bikra

Kati ya hawa ni nani mke mwema?
Mmmh hapo hakuna mke mwema, labda kama kwa ajili ya kusogeza tu siku angalau kidogo A, maana wanasemaga jogoo wa shamba hawiki mjini ila ukiona siku kawika ujue ni uchulo tena unatakiwa kumchinja haraka sana.
 
Tatizo wanaume wa KiTanzania hamna msimamo, mnasikiliza sana maneno ya kuambiwa. Wakati mnatongozana hao wa pembeni walikuwepo?
A - umempendea nini? ana tabia njema? Kwasababu hakuna asiekuwa na past, makosa, hakuna aliekamilika! je wewe ni msafi unapojifanya Mungu? A- alikosea, akateleza lakini kajifunza maisha tena akipata ataappreciate maisha na mwenza wake, pili kashapitia huko kwahiyo hana budi kuangalia nyuma yeye anataka kujenga maisha, nina uhakika ana msimamo kwasababu ya mapito yake.

B - ulimpendea bikra au? maana unaweza kuwa nayo lakini.....Sasa ndio kwanzaa amefunguliwa dunia, kaijulia kwako ukubali mteleze wote tu, uwepo kumbeba atakapoteleza si umeshachagua? mpaka kifo kiwatenge? umlee, umvumilie, umfundishe, anajifunzia kwako na shemeji zake na majirani. Nina uhakika baada ya miaka 10 ya ndoa atakuwa kajifunza vya kutosha kuendelea maisha nawe na kuyajenga.

mnsiniponde....my 2 cents....
 
Mi huwa siangalii history ya ke coz najua na mm nina history yng ambayo huenda angeijua angentosa. At some point, somewhere, everyone has made some mistakes.
 
A na B kwangu ni maBIKIRA japo A kashatoa mimba...
My First Principal, LOVE what you have... Ningemuoa A
 
Back
Top Bottom