Yule mke wa kachero wa TANAPA...

Yule mke wa kachero wa TANAPA...

Tanzania na mali hasili_ huyo anajua wezi na majingili wote wanaoua Tembo na faru....wamemua kuogopa kitanzi cha mzee wa hapa kazi tu aingii akilini house Boy aue kwa 5 mil.
Wana Jf.

heri ya xmass...

Naomba kujua yule mke wa Mkuu wa upelelezi TANAPA ni wa wapi?

Tangu tukio lile na tangu RPC wa Arusha azungumzie tukio lile kwa kumhusisha yule mke wa marehemu na ukizingatia ushahidi wa mazingira uliopatikana ikiwemo taulo yenye damu, panga likiwa na damu, na nguo mbalimbali walizokuwa wanafutia damu sebuleni na kuzifukia chini ya ardhi na ukizingatia yule house boy alikiri kuhusika kumuua marehemu kwa dau la sh. milioni 5 nimepata shauku ya kujua yule mama ni MTU wa wapi? hadi kupata huo ujasiri wa kumuua mume wake?

Na kibaya zaidi eti akawahi kituo cha. polisi kutoa taarifa za kupotea mume wake na kwamba hajui alipo...! kumbe kashiriki kumuua mume wake na kumwingiza kwenye buti ya gari la marehemu na kwenda kumtelekeza porini...!!

House boy anasema alimchinja bosi wake wakati akiwa sebuleni akinywa uji ndipo alipomcharanga kwa mapanga hadi kufa, sasa huyu mama wakati huo alikuwa hayupo eneo hilo au alijificha hadi tukio lilipomalizika? maana tunaambiwa wanawake wana huruma sana sasa huyo mama hakuona huruma kushuhudia au kushiriki kumuua mumewe? ikizingatiwa kwamba mumewe kumbe alikuwa mgonjwa na alikuwa anajiandaa kwenda INDIA kwa matibabu?

Tuweni na huruma jamani, enyi wanawake na hata wanaume wenzangu.
 
Junior ni wewe kweli au??????????????????????? unanichekesha sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ya unampa njia mbadala ya kumuangamiza mumew????????????????????




JUIOR.CUX.... WEWE LZM NI MUPALESTINA aka MUMACHAME. Ti ti ti...

Sasa jamani kufa kwa kuchapwa mapanga au softly kwa uji bora kipi... maana hapa watu walikua washadhamilia kuua issue ni jinsi gani ya kufanya
 
lakini kwa huo uzi. NDUGU ZETU WA MACHAME MNATAKIWA KUBADILIKA. INGAWA WANAUME NI WATU POA SANA.KINA MAMA MJIREKEBISHE.
 
Sasa kama huyo mtuhumiwa alikuwa haishi na mmewe then alijuaje mmewe kapotea mpaka aende polisi kuripoti ndani ya muda mfupi kiasi hicho?(ndani ya saa kadhaa tu)Je walitengana kwa ugomvi au sababu nyinginezo?Wana muda gani toka waanze kutokuishi pamoja?Kama alikuwa haishi hapo na mmewe kitambo then funguo za akiba za gari yeye alijuaje zinapowekwa? BTW:Kama huyo mother kahusika atakuwa mbumbumbu kweli maanake hiyo 5M bora angetafuta outsiders wazoefu wafanye yao.Kafa kifo cha mateso sana huyo mshua.Dah!!!
 
Una habari kuwa marehemu alikuwa aishi na mke wake hapo nyumbani? Kwenye red wacha sifa za kijinga unahisi ni wewe mwenyewe mwanasheria.

Mkuu manuu...

kuwa mwelewa basi, Mke wake ndiye aliyekwenda polisi kutoa taarifa kwamba hajamuona mumewe nyumbani toka alipoondoka na mumewe alikuwa asafiri kwenda kwenye matibabu India na mkewe ndiye aliyeleta ufunguo wa akiba wa gari kwa polisi ili kufungua buti ya gari.....

sasa kama alikuwa haishi naye nyumbani alijuaje kwamba mumewe alikuwa hajaonekana nyumbani toka juzi?

ilikuwaje aulete ufunguo wa akiba wa gari lao kwa polisi?


sio kwamba najisifia kwamba mm ni mwanasheria nooo, twende kwenye hoja ya msingi kaka.
 
hata hisia huna? mke yawezekana anahusika hapa, ingekuwa ahusiki, house boy asingemuulia nyumbani kwa marehemu...(tumia akili kufikiri vizuri).. hili ni deal lilipangwa kwa ustadi lakini utekelezaji wake ndo ulikosewa...

Tukio la kumuua MTU kwa panga tena nyumbani kwake siyo mpango wa siku moja la hasha...Mimi ni mtaalamu wa uchunguzi na pia mwanasheria hili ni tukio la muda mrefu lakini lilikuwa linasubiriwa muda ufike rasmi ndipo litekelezwe, house boy hawezi kufanya kitendo hicho bila MTU yeyote nyumbani kuwa na taarifa, labda kama aliagizwa na watu wa nje wamuulie nyumbani ili baadae wamsingizie mke wake kuwa ndiye aliyemtuma, lakini napo kuna maswali mengi sana, ikiwemo, ni wapi house boy aliweza kupata taulo ya marehemu au nguo zake za kufutia damu?

marehemu alikuwa anakunywa uji sebuleni, nani aliyemtengea huo uji? kama ni mke wake it means alikuwa eneo LA tukio muda huo house boy anafanya yake.

nani aliyetoa vyombo mezani? uliona mini hapo sebuleni? ulimkuta marehemu? uliuliza yupo wapi?

upo aiseeee!
 
Mkuu manuu...

kuwa mwelewa basi, Mke wake ndiye aliyekwenda polisi kutoa taarifa kwamba hajamuona mumewe nyumbani toka alipoondoka na mumewe alikuwa asafiri kwenda kwenye matibabu India na mkewe ndiye aliyeleta ufunguo wa akiba wa gari kwa polisi ili kufungua buti ya gari.....

sasa kama alikuwa haishi naye nyumbani alijuaje kwamba mumewe alikuwa hajaonekana nyumbani toka juzi?

ilikuwaje aulete ufunguo wa akiba wa gari lao kwa polisi?


sio kwamba najisifia kwamba mm ni mwanasheria nooo, twende kwenye hoja ya msingi kaka.


Mkuu Heshima kwako...

Kwanza, tukianza kujadili kwamba mke kaua, Je, wanawake wanaua ili iweje?? Jibu ni warithi mali... Sasa swali linalofata huyo Marehemu alikuwa na pesa ya kumfanya mkewe mpaka aweke bond ya Million 5 kwa muuaji?? Tena Million 4 ikatanguliziwa kabisa.. Kwa nionavyo marehemu alikuwa si tajiri kiivyo mpaka mkewe atoe pesa yote hiyo kwa muuaji..

Hapa lazima kuna a third part iliyohusika na mauaji.. Labda mkewe naye alitumika kama chombo tu, ila wauaji ni wengine na hata hiyo Million 5 ilitolewa na hao ambao wako behind the scenes...

Pili, yawezekana ni House Boy ndiye kacheza dili na mke wakam'set off kwa house boy kuhaidiwa hata akifungwa wanaweza fanya kila hali atoroshwe gerezani na kutafutiwa makazi mapya, hawa watu waliomuua hawashindwi kumpa zaidi ya Million 30 hii ishu ikiisha salama then wakamtafutia makazi hata Kenya..

Tatu, hiyo gari ilitelekezwa na maiti maeneo ya Njiro... Je, nani aliiendesha mpaka huko Njiro?? Wameangalia Finger Print kwenye usukani wa gari?? Hizo nguo walizodekia damu zimechunguzwa kuona nani alizitumia kudekia?? Au sie uchunguzi wetu ni wa kiimani tu na kihisia??

Kazi ipo, bado siamini ni mke kaua kwa kutaka yeye bila watu nyuma yake.. Hii ni kama mke kweli kahusika na mauaji..
 
Anaweza kuwa mhusika maana kama unajua mmeo ni mtumishi tena wa usalama na amekuaga anaenda kazn halafu unaenda kutoa tasrifa kituoni ni kuonesha ana hofu ya jambo fulani.
 
Hapo Kuna kitu nyuma yake. House boy ni Dereva? Na je nyumbani kulikuwa na house boy peke yake? La msingi ufanyike uchunguzi wa kina na kitaalam
 
Hakuna kiumbe ninachoogopa duniani kama MWANAMKE,tena akiwa wa zile sehemu za wakatili ndio kabisaa.

ACHA TU TUSIOE MAPEMA KABISA.
 
Kuna Issue nzito hapa inaweza ikawa mazeri anahusika,Shamba boy au Wazee wenyewe wa nchi.
 
Mauaji yako wazi tu. Mengine ni porojo za kusubiri lunch. Lunch ya luncher lunchi lunched by luncher lunching the luncher lunch.
 
Hivi nyumbani kwa boss mkubwa hivyo hakukuwa na camera ndani iliyorecord matukio?
 
Huyo atakuwa mmachame orijinali, aka Le Mupalestinazz...

ni kweli ni mchaga kwa asili ya aliyemzaa ila anatumia jina la kimasai coz mama yake aliolewa akiwa naye na kama ujuavyo wamasai hawakatai watoto akampokea na kumfanya mwanae wa kwanza. Aisee hawakujipanga kbs hata hizo nguo wangechoma mybe... mtu masaa machache haijapita hata 24hrs unawahi polisi... mahali damu ilipomwagika hata pakidekiwa panaacha alama flani iweje hakuiona? Likizo hii watoto hawakuwepo au walitumwa wote? h/grl hakuna nyumba hiyo? Aisee mtu mwenyewe unit zake zilibk chachee ni wakuhudhuria kwa kina keemchoo kutibiwa si angemuacha tu??? By z way itamkost maana kakosa lbd kama kwa masaa hayo alishajihamishia kila doc kwa jina lake. Yeuwiii huyo h/boy atafurahiii akitoka huko kiberiti 5000
 
Back
Top Bottom