Yuko wapi wa kuvaa viatu vya Ruge?

Alikuwa anamgonga barnabas au amini?
 
Huwezi kuwa partisan kwa msanii ubaki salama.Huwezi ku-side na mtesi halafu Wateswa wakushabikie.Neutrality or if necessary siding with justice matters a lot.
 
Huwezi kuwa partisan kwa msanii ubaki salama.Huwezi ku-side na mtesi halafu Wateswa wakushabikie.Neutrality or if necessary siding with justice matters a lot.
Neutrality or if necessary siding with justice matters a lot.[emoji1534][emoji1545]
 
Team mondi kazini

Umerukaruka weeeee ila lengo lako lilikua ni huyo mmakonde tu
 
Huyo harmonize kaandamwa kivipi?
 
89% ya andiko ni Harmo na Nasib wakati kichwa ni Ruge na tasnia ya habari/Sanaa

Ok! Kila mtu afanye kile anaona kinafaa
Ukiniokota jalalani ukanifanyisha kazi na kujilipa, bas huo sio msaada, hiyo n kazi na tahesabu km ulinipa kazi na sio msaada
 
89% ya andiko ni Harmo na Nasib wakati kichwa ni Ruge na tasnia ya habari/Sanaa

Ok! Kila mtu afanye kile anaona kinafaa
Ukiniokota jalalani ukanifanyisha kazi na kujilipa, bas huo sio msaada, hiyo n kazi na tahesabu km ulinipa kazi na sio msaada
Uandishi ni sanaa na sanaa haina mipaka
 
Ushindi ni lazima uwepo uwe unataka au hautaki lakini uwe ni ushindani ambao ni Fair Competition. Hii tasnia ya muziki bado ina makando kando mengi sana achilia mbali wasanii wenyewe bado wana changamoto zao kibao, bila shaka Diamond pia anamtambua Ruge ni nani ? Hayo mambo amefanyiwa Tupac na Suge Knight kwenye mikataba iwe kwa Harmonize ?

Lazima tujifunze kitu kimoja kwenye hii Dunia kitu chochote usichokijua ni lazima ukilipie gharama kwa namna yoyote. Leo hii ukitaka kuanzisha biashara ya aina yoyote ile cha kwanza ni Gharama. Lakini sisi hizi gharama tunazozilipia tunaziona ni mateso na tunasahau kuwa mioyoni mwetu zinatusogeza kwenye ndoto zetu. Wabongo bado ni watu wanaogopa ushindani sana.

"Watu wanaokushauri ufanikiwe ukianza kuonesha juhudi na mafanikio kuwapita wao wanaanza kuona unashindana nao". Tunafanikiwa zaidi kwa kuwanyanyua watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…