Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,194
- 11,589
TrueAkili na maono ya mtu huwa hayarithiwi mkuu ila huwa tunarithi mali na Assets nyinginezo
Kila mtu ana nafasi yake na mchango wake wa kipekee ktk kufanikisha mafanikio ya watu na dunia yake