Yuko wapi wa kuvaa viatu vya Ruge?

Ruge alikuwa ni muhuni tu akijificha nyuma ya kivuli cha connections zake serilalini, elimu yake, uzoefu wake, n.k

Ruge alikuwa hataki ushindani, alikuwa anataka awepo peke yake ili anyenyekewe.

Ukikosana na ruge alikuwa anafanya hilo bifu atalihusisha mpaka kwenye kukuua kimuziki.

Nandy alikuwa na kipaji kama wasanii wengi tu lakini kwakuwa alikuwa anampa ruge penzi, Ruge alimfanya awe star.

Tigo wanatoa hata milioni 150 kudhamini fiesta, wasanii wanapewa eld 40!!

Ruge alikuwa mbwa mwitu ambae alivaa kinyago cha kondoo.
Duh...tuko dunia ya mapambano.. The end justifies the means..!
 
Umezunguka zunguka kujifanya unamsifia Ruge lakini nia yako ulitaka kuzungumzia Harmonize na Diamond ungeenda tu direct. Mbona Diamond alishalalamika sana kuhusu Ruge na watu wakamshambulia Ruge, leo akisema Harmonize mnaleta mabandiko yenu...

Kitu kingine Harmonize hajakataa kusaidiwa anacholalamika yeye ni kuendelea kuandamwa wakati alifanya kila kitu kulingana na matakwa ya mwajiri na mikataba ilivyotaka
Uandishi ni sanaa inategemea unaitumia vipi... Ruge ni indicator, Mond ni headlight..Harmo ni dim.. Je umepata picha?
 
Ruge alikuwa Mbunifu Sana alijua kucheza na nyakati
Ile THT aliyoianzisha pamekuwa mahala paupigaji Kila anayeenda kujifunza wanataka Atoe hela wakati kipindi yupo hai mwenye THT yake hakua na tamaa za kijinga

Ruge alipenda kuwakutanisha wasanii sehemu moja na wakafanya kile ambacho alikiamini na ndiyo maana Mondi anajitahidi Sana kukopi baadhi ya vitu kutoka kwa Ruge kuanzia kwenye Radio Hadi kwenye Tv

Kwakifupi Ruge aliichangamsha Sanaa kuanzia kwenye maigizo mpaka kwenye muziki pengo lake nikama the greaty kanumba halitakaa lizibike ingawa Kuna watu wanajitahidi kuvaa viatu Vyake
Ruge alihusikaje kwenye maigizo?
 
Huyu hapa Ruge
Jasiri muongoza njia
1638110481530.jpg
 
ni kweli haya mambo ya kibinadamu yanatisha sana lazima tujiulize maswali haya

je tuache kusaidia wenzetu kwa kuhofia kuwa watakuwa silaha kubwa kwetu

au tuendelee kutumia msemo wa tenda wema nenda zako..............

anyway
BROO MSHANA ....unajua kuleta maada fikirishi

Maisha ni mapambamo.. Its survival of the fittest..dunia haina huruma japo ulimwengu ni shujaa kwakuwa hatimaye ukitoboa utasifiwa ..ukisubiri huruma utachekwa
 
Kwa hio huko kurudisha mazao ndio kumlipa rubby elf 80 kwenye fiesta azunguke tz nzima, huu ni upuuzi. kuna muda ndio tunahitaji kurudisha fadhila kwa waliotusaidia lakini kuna wakati unaona kabisa unadharauliwa kama nguruwe.

Nampa big up sana rubby kwa kukataa huu ujinga.

Ni kama kumchukua chokoraa huko mtaani umlishe chakula alafu umwambie akulimie shamba heka nzima umpe buku

Ni kweli Mkuu ndiyo maana tunaona toka Rubby alipojitoa kwa Ruge amezidi kung’aa, na hivi Ruge kafariki so hawezi kubaniwa popote basi kazidi kufanikiwa sana sana sio Ruby yule...si ndiyo ehee.

Na yule Nandy aliekuwa anabebwa ndiyo kaporomoka hata hasikiki
 
Ni kweli Mkuu ndiyo maana tunaona toka Rubby alipojitoa kwa Ruge amezidi kung’aa, na hivi Ruge kafariki so hawezi kubaniwa popote basi kazidi kufanikiwa sana sana sio Ruby yule...si ndiyo ehee.

Na yule Nandy aliekuwa anabebwa ndiyo kaporomoka hata hasikiki
Comment yako imeongea mengi kwa mistari michache.
 
Ni msanii gani fiesta alikuwa analipwa elfu 40 au 80 ndugu huyo Ruby hela aliyokuwa anapaita alikuwa anahonga wanaume tu na kulewa tunamtuhumu mtu KWA vitu ambavyo hakuvifanya kisa hawezi kujitetea nani asiyojua wasanii wa bongo maisha yao hivi unafahmu hao hao unaowatetea ndio wanamkumbukka Ruge kipindi hiki Cha likizo ambacho ndio yalikuwa mavuno yao
Uwa ni maneno ya watu tu ndugu. Kuna siku nilimsikia chidbenz tena mwaka jana akihojiwa kipindi kile wakati anadai efm walitaka aperform kwa 50000. Katika hiyo interview alisema kati ya makampuni yanayolipa vizuri ni clouds. Alisema ilikuwa inatokea malipo yanachelewa baada ya fiesta ila walikuwa wanalipa vizuri.
 
Huwezi kuona thamani ya kitu mpaka siku ukikose!

Wako wapi wasanii wale waliopiga kelele kuwa wanashindwa kung'ara kwakuwa marehemu Ruge alikuwa anawanyonya? Wengi nawaona wakiwa na hali mbaya kuliko hata kipindi cha kunyonywa na marehemu.
Bro na ww ni chawa wa Mond
 
23 Reactions
Reply
Back
Top Bottom