Kumbe kibaka tu
Sio mda utamuona mahakamani, tunamtaka chini ya Mawakili wasomi upande wa utetezi awe anaumwa au laHuyu RPC, siku hizi simuoni na amekuwa kimya Sana sijui kwanini. Mara ya mwisho nilimuona mahakamani akitoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe, ni shahidi aliyebanwa vilivyo na kutamani kukimbia kizimbani.
RPC huyo ndo alimuambia Mbowe kuwa " safari hii hutoki'" Ila kwa jinsi kesi inavyoenda najua Kingai anajuta kujiusisha na hii kesi, na amepotea kabisa kwenye media, japo Niko Dar na kila siku naenda mahakamani, lakini huyu RPC amepotea hatumuoni Kama mwanzoni alivyokuwa mstari wa mbele kwenye kesi ya Mbowe
Yupo wapi Kingai


Ipo siku yake nathani now hana Amani kabisaNa bado ategemee kutendewa kilekile alichokusudia na kuwatendea wengine. Asitie kitaa kienyeji enyeji
Akiulizwa Mwigulu
Yupo wapi RPC Kingai. Mwigulu angejibu kuwa RPC Kingai sio polisi







Serious ya LumumbaHuyu jamaa nilianza kumfahamu alivyokuwa RCO Pwani.
Very serious guy.
Hana mzaha aisee.
Hatakiwi kuchukuliwa huyu hadi hii kesi ifike mwisho.Mi nilitaka kufurahi kuwa MUNGU amemchukua
Laana itamuandama sanaJuzi alikuwepo upande wa pili wa road kwenye ile gereji anarekebisha kigari Fulani hivi
Aibu kubwa sanaRPC mzima anakuwa muongomuongo, pumbavu sana siku hizi hakatoki kabisa kwenye habari wamemkaushia.
Jamaa kina Kibatara alimanusla wamchomoe rohoSio mda utamuona mahakamani, tunamtaka chini ya Mawakili wasomi upande wa utetezi awe anaumwa au la

Rest in hell? No, Rot in hell!Kwa huyu isingekuwa R.I.P bali
Rest in hell.
Ni nguvu ya General Lengai Ole Sabaya.Yaani kundi lote lilipata promotion kupitia kesi ya mchongo! Aibu kubwa sana hii kwa walio wapandisha vyeo hawa jamaa.
Mkuu Hali ni mbaya walifikili Kuna mteremkoJamaa kina Kibatara alimanusla wamchomoe roho![]()
Lakini moyo wake ukiwa umebeba furushi la mashakaAnakula kuku na kiyoyozi Hoysterbay Police
Kinondoni (mkoa wa kipolisi).RPC wa mkoa gani?
Huyu jamaa nilianza kumfahamu alivyokuwa RCO Pwani.
Very serious guy.
Hana mzaha aisee.
Sio kujihusisha, yeye ndo mastermind wa hii movie ambayo ime-fail at earliest stage. Aibu ni kwake, Jeshi la Polisi lkn mbaya kabisa ni kwa Serikali ambayo imeshindwa ku-withdraw huu upuuzi at early stage!!!Kingai anajuta kujiusisha na hii kesi
Mpuuzi wewe kwa hiyo huo ambao amesabisha aibu kwa serikali ndo seriousness? Upuuzi mwingine tuupuuze!!Huyu jamaa nilianza kumfahamu alivyokuwa RCO Pwani.
Very serious guy.
Hana mzaha aisee.