Yuko wapi RPC nguli Ramadhani Kingai?

Yuko wapi RPC nguli Ramadhani Kingai?

Alipigwa spana takatifu akaomba poo kwenda kujojoa kupunguza bia alizokunywa usiku kabla ya kesi pale sinza kumekucha!
😁😁😁😁
 
Huyu RPC, siku hizi simuoni na amekuwa kimya Sana sijui kwanini. Mara ya mwisho nilimuona mahakamani akitoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe, ni shahidi aliyebanwa vilivyo na kutamani kukimbia kizimbani.

RPC huyo ndo alimuambia Mbowe kuwa " safari hii hutoki'" Ila kwa jinsi kesi inavyoenda najua Kingai anajuta kujiusisha na hii kesi, na amepotea kabisa kwenye media, japo Niko Dar na kila siku naenda mahakamani, lakini huyu RPC amepotea hatumuoni Kama mwanzoni alivyokuwa mstari wa mbele kwenye kesi ya Mbowe

Yupo wapi Kingai
Ameenda ku-repair damage
 
Aibu sana.... Nafikri hata vijana waliopo chini yake wanakosa la kusema tu.... Ila anajua wanamuona kilaza sana....

Hajatofautiana sana na Urio....

Halafu komandoo kutoa ushahidi kizembe hivi,,, siku vita imetukuta akibanwa kidogo tu si ndio ataongea yote
 
Back
Top Bottom