Yuko wapi RPC nguli Ramadhani Kingai?

Yuko wapi RPC nguli Ramadhani Kingai?

Msambaa unaambiwa hata misiba kijijini kwao haudhurii. Vikao vya ukoo haudhurii. Michango anatumia tu. Yani kajitenga tenga. Ana tabia moja mbaya Sana aliyozaliwa nayo ni katili. Alifeli form four ni mzee makamba tu ndie alimfanyia connection kuingia polisi.
Huyu atakuwa ni Mnyika bhana! Wasambaa hatunaga tabia za kindezi kama zake. Ukatili na Wasambaa wapi na wapi!

Lawama zote ziende kwa huyo Mzee Makamba kwa kutuletea majanga ndani ya jeshi la polisi.
 
Kitu cha kusikitisha sijui kwanininbado DPP haja waona kina Kingai na genge lake kama ni wahuni tuu kama wale polisi wenzao majambazi kule Lindi.
 
Msambaa unaambiwa hata misiba kijijini kwao haudhurii. Vikao vya ukoo haudhurii. Michango anatumia tu. Yani kajitenga tenga. Ana tabia moja mbaya Sana aliyozaliwa nayo ni katili. Alifeli form four ni mzee makamba tu ndie alimfanyia connection kuingia polisi.
Daaaaa
 
Huyu RPC, siku hizi simuoni na amekuwa kimya Sana sijui kwanini. Mara ya mwisho nilimuona mahakamani akitoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe, ni shahidi aliyebanwa vilivyo na kutamani kukimbia kizimbani.

RPC huyo ndo alimuambia Mbowe kuwa " safari hii hutoki'" Ila kwa jinsi kesi inavyoenda najua Kingai anajuta kujiusisha na hii kesi, na amepotea kabisa kwenye media, japo Niko Dar na kila siku naenda mahakamani, lakini huyu RPC amepotea hatumuoni Kama mwanzoni alivyokuwa mstari wa mbele kwenye kesi ya Mbowe

Yupo wapi Kingai
Ameyakoroga inabidi ayanywe, Kibatala na jopo lake lilimtoa nock out kahenyeshwa vibaya na bado Luteni Urio yamemfika shingoni sembuse Kingai
 
Anajiandaa kurithi mikoba ya IGP, CDM kaeni mkao wa kula - Pilau lipo njiani.
 
Huyu RPC, siku hizi simuoni na amekuwa kimya Sana sijui kwanini. Mara ya mwisho nilimuona mahakamani akitoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe, ni shahidi aliyebanwa vilivyo na kutamani kukimbia kizimbani.

RPC huyo ndo alimuambia Mbowe kuwa " safari hii hutoki'" Ila kwa jinsi kesi inavyoenda najua Kingai anajuta kujiusisha na hii kesi, na amepotea kabisa kwenye media, japo Niko Dar na kila siku naenda mahakamani, lakini huyu RPC amepotea hatumuoni Kama mwanzoni alivyokuwa mstari wa mbele kwenye kesi ya Mbowe

Yupo wapi Kingai
Mtafutie eneo lake la kazi utamkuta.
 
Huyu RPC, siku hizi simuoni na amekuwa kimya Sana sijui kwanini. Mara ya mwisho nilimuona mahakamani akitoa ushahidi kwenye kesi ya Mbowe, ni shahidi aliyebanwa vilivyo na kutamani kukimbia kizimbani.

RPC huyo ndo alimuambia Mbowe kuwa " safari hii hutoki'" Ila kwa jinsi kesi inavyoenda najua Kingai anajuta kujiusisha na hii kesi, na amepotea kabisa kwenye media, japo Niko Dar na kila siku naenda mahakamani, lakini huyu RPC amepotea hatumuoni Kama mwanzoni alivyokuwa mstari wa mbele kwenye kesi ya Mbowe

Yupo wapi Kingai
Malipo hapa hapa dunian kama anawez kumushudia uongo binadam mwenzie ili yamupate mabaya ipo siku yatamurudia na yy
 
Ukifatilia vizuri hawa jamaa walikuwa wanatembea nchi nzima mikoa yote maeneo yote. Wanaweza kuingui makao makuu yote ya polisi walikuwa wanaingia bila kuhojiwa.

Walitumia magari matatu hadi manne kwa nayakati tofauti. Land cruiser ku drive mikoa yote sio bajeti ndogo.
 
Back
Top Bottom