Yuko wapi mwandishi Stanley Katabalo?

Yuko wapi mwandishi Stanley Katabalo?

Wadau,

Nikiwa bado mdogo miaka ya Tisini kulikuwa na gazeti linaitwa Motomoto! Na jingine likiitwa Mfanyakazi. Kwenye kurasa za magazeti haya kulikuwa makala za mwandishi aliyekuwa akiitwa. Stanley Katabalo.

Je, kuna mtu ana habari za kutosha kuhusu mwandishi huyu?

Nawasilisha.
Wasiojurikana kipindi Cha Mzee wa Ruksa walipita nae kama kipanga,
 
Wadau,

Nikiwa bado mdogo miaka ya Tisini kulikuwa na gazeti linaitwa Motomoto! Na jingine likiitwa Mfanyakazi. Kwenye kurasa za magazeti haya kulikuwa makala za mwandishi aliyekuwa akiitwa. Stanley Katabalo.

Je, kuna mtu ana habari za kutosha kuhusu mwandishi huyu?

Nawasilisha.
R.i.p kitambo sana
 
Wadau,

Nikiwa bado mdogo miaka ya Tisini kulikuwa na gazeti linaitwa Motomoto! Na jingine likiitwa Mfanyakazi. Kwenye kurasa za magazeti haya kulikuwa makala za mwandishi aliyekuwa akiitwa. Stanley Katabalo.

Je, kuna mtu ana habari za kutosha kuhusu mwandishi huyu?

Nawasilisha.
Tungekua nao kama hawa kumi hiki kipindi cha bandari.
 
Back
Top Bottom