Yuko wapi Mtemi mwingine wa kupambana na Mbowe?

YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la Mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai kwa Mfalme wa Chadema, Freeman Mbowe.

Tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema, Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya.

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge wakati Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizunguka Duniania kusema Awamu ya Tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau Dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Lengai Ole Sabaya.

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa CHADEMA na kwa hakika wamepata point tatu muhimu, Sabaya pengine ni Kijana, Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana damu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama Vijana wanaopitia hali ya ujana.

Alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu unalea kijana wako toka Utoto ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika.

Kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama kulea Mtoto yakutaka kuwa na subira hekima, busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?. Wapo viongozi vijana kama Sabaya awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana lakini Sabaya a.K.a Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai

Pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai, Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa.

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa, ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha Wananchi iwe kwa haki au kwa shari ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa.

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.

Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu. Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi Mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe chama au Mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi, tujitahidi kusimamia haki, Duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na Chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua, Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae, CHADEMA leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa, watu wa CHADEMA walipenda Sabaya aondolewe mbali pia wanataka RC Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Ally Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu.

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua kumuita majina wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli? Wana utu kweli? Je, wao hawatakufa?

Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani.

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany, Alexander Crummel, Edward Blyden, Dr. William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe, Marcus Garvey, Kwame Nkrumah, Haile Selassie, Robert Mugabe, Jomo Kenyatta, George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela, Oliver Tambo, Thomas Sankara, Patrice Lumumba and Dr. John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele.

Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi hata aondolewe nani bado legacy ya Mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

- Bachelor of Business Administration in International Business.

- Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Pumba
 
Umeandika firigisi tu. Hakuna point hata moja. Kwanza mtoe Mwendazake kwenye list ya hao viongozi, vision yake ilikuwa haifiki kilometer moja
 
Kama ndio "wasomi " wa chuo kikuu wanakua kama wewe basi tuna safari ndefu kupiga hatua kwenye medani za kimataifa....
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la Mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai kwa Mfalme wa Chadema, Freeman Mbowe.

Tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema, Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya.

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge wakati Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizunguka Duniania kusema Awamu ya Tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau Dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Lengai Ole Sabaya.

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa CHADEMA na kwa hakika wamepata point tatu muhimu, Sabaya pengine ni Kijana, Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana damu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama Vijana wanaopitia hali ya ujana.

Alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu unalea kijana wako toka Utoto ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika.

Kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama kulea Mtoto yakutaka kuwa na subira hekima, busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?. Wapo viongozi vijana kama Sabaya awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana lakini Sabaya a.K.a Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai

Pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai, Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa.

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa, ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha Wananchi iwe kwa haki au kwa shari ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa.

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.

Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu. Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi Mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe chama au Mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi, tujitahidi kusimamia haki, Duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na Chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua, Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae, CHADEMA leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa, watu wa CHADEMA walipenda Sabaya aondolewe mbali pia wanataka RC Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Ally Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu.

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua kumuita majina wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli? Wana utu kweli? Je, wao hawatakufa?

Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani.

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany, Alexander Crummel, Edward Blyden, Dr. William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe, Marcus Garvey, Kwame Nkrumah, Haile Selassie, Robert Mugabe, Jomo Kenyatta, George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela, Oliver Tambo, Thomas Sankara, Patrice Lumumba and Dr. John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele.

Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi hata aondolewe nani bado legacy ya Mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

- Bachelor of Business Administration in International Business.

- Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Mavi
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la Mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai kwa Mfalme wa Chadema, Freeman Mbowe.

Tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema, Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya.

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge wakati Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizunguka Duniania kusema Awamu ya Tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau Dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Lengai Ole Sabaya.

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa CHADEMA na kwa hakika wamepata point tatu muhimu, Sabaya pengine ni Kijana, Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana damu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama Vijana wanaopitia hali ya ujana.

Alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu unalea kijana wako toka Utoto ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika.

Kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama kulea Mtoto yakutaka kuwa na subira hekima, busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?. Wapo viongozi vijana kama Sabaya awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana lakini Sabaya a.K.a Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai

Pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai, Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa.

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa, ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha Wananchi iwe kwa haki au kwa shari ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa.

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.

Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu. Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi Mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe chama au Mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi, tujitahidi kusimamia haki, Duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na Chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua, Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae, CHADEMA leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa, watu wa CHADEMA walipenda Sabaya aondolewe mbali pia wanataka RC Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Ally Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu.

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua kumuita majina wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli? Wana utu kweli? Je, wao hawatakufa?

Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani.

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany, Alexander Crummel, Edward Blyden, Dr. William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe, Marcus Garvey, Kwame Nkrumah, Haile Selassie, Robert Mugabe, Jomo Kenyatta, George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela, Oliver Tambo, Thomas Sankara, Patrice Lumumba and Dr. John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele.

Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi hata aondolewe nani bado legacy ya Mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

- Bachelor of Business Administration in International Business.

- Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Kwa bahati mbaya sana unamfundisha mama kulea! Yaani unamuona hajui malezi yapoje hivyo umeona umfundishe! Ajabu na kweli!. Unamfundisha mwenyekiti kuongoza kuwa hatoshi, sio ?! Unadai tunahitaji kiongozi aina ya magufuli yaani hatumuhitaji Samia. Kwa 'ubobevu' huo unaojibaraguza nao jambo la kwanza ambalo ilitegemewa ulijue, hatufanyi majaribio ya viongozi katika gharama ya hatma za watu, Sabaya mnaeshupaa kumsafisha huku mkimdhihaki mh rais kwa ajili yake, baada ya kufanya hayo majaribio ya uongozi kwa gharama ya maisha ya watu, akishagundua kuwa aliwakosea, atawafidia ?ama hatma yao itakuwaje ??. Kuna mambo mawili wewe Mataga yakupasa utambue
1. DC ni muwakilishi wa mh. Rais ktk wilaya, yale anayoyafanya yanapasa kuwakilisha dhamira ya utendaji wa rais ktk eneo lake la utawala, kama anayoyafanya hayakidhi matarajio ya rais anaweza kumtoanmuda wowote, na kama kuna aliyoyafanya yanahitaji uchunguzi maalum, mh rais anaweza kufanya hivyo muda wowote atakao. Kama sabaya hakuwa anafanya kazi kufuata miongozo na maono ya mh. Rais kama ilivyo kwa wakuu wa walaya waliowahi kutolewa ktk nafasi hizo kwa makosa kama hayo, naye sabaya atatolewa na kuwekwa mwengine. DC lazima atende na aonekane akitenda kama muwakilishi wa mh rais na si vinginevyo.
2. Ukuu wa wilaya sio jukwaa au darasa la kujifunza uongozi, kama hatoshi au anahitaji kujifunza, akatafute sehemu ya kujifunzia sio katika nafasi hiyo. Kama kuwa kijana ndiyo kinga ya kufanya upuuzi, Salim Ahmed Salim asingeteuliwa kuwa balozi wetu Misri katika umri aliokuwa nao, nyerere asingeisimamia nchi hii ktk umri ule wala Thomas Sankara asingekuwa moja ya nguzo za uongozi inayotajika hata sasa. Arudi kujifunza kama 'hajaiva kiuongozi' (kama ulivyosema kwa maneno yako)
3. La mwisho, kama Mwenyekiti unamuona hatoshi,tokeni kwenye chama hiki, tafuteni pa kwenda, Samia ndiye mwenyekiti na ANATOSHA. Wewe na huyo Sabaya wako (ambaye huwenda amekutuma kumtukana, kumdhihaki na kumsogosha mh rais) mnaweza kuondoka hata sasa na chama hiki kitaendelea kuwa mshikadola. Hatujushinda Hai sababu ya Sabaya tumeshinda sababu ya kazi zetu. Mataga mishale imetoka na farasi wanarudi mwenyewe jueni emyi mataga, sisi mliotukuta na ccm yetu, tupo na rais wetu,tupo na samia wetu. Mtashindana nae lakini hamtoshinda. Mataga mmoja wewe !.
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la Mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai kwa Mfalme wa Chadema, Freeman Mbowe.

Tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema, Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya.

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge wakati Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizunguka Duniania kusema Awamu ya Tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau Dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Lengai Ole Sabaya.

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa CHADEMA na kwa hakika wamepata point tatu muhimu, Sabaya pengine ni Kijana, Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana damu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama Vijana wanaopitia hali ya ujana.

Alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu unalea kijana wako toka Utoto ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika.

Kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama kulea Mtoto yakutaka kuwa na subira hekima, busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?. Wapo viongozi vijana kama Sabaya awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana lakini Sabaya a.K.a Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai

Pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai, Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa.

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa, ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha Wananchi iwe kwa haki au kwa shari ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa.

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.

Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu. Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi Mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe chama au Mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi, tujitahidi kusimamia haki, Duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na Chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua, Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae, CHADEMA leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa, watu wa CHADEMA walipenda Sabaya aondolewe mbali pia wanataka RC Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Ally Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu.

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua kumuita majina wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli? Wana utu kweli? Je, wao hawatakufa?

Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani.

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany, Alexander Crummel, Edward Blyden, Dr. William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe, Marcus Garvey, Kwame Nkrumah, Haile Selassie, Robert Mugabe, Jomo Kenyatta, George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela, Oliver Tambo, Thomas Sankara, Patrice Lumumba and Dr. John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele.

Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi hata aondolewe nani bado legacy ya Mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

- Bachelor of Business Administration in International Business.

- Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
This is the worst presentation of the year, must be from a very low IQ.
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la Mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai kwa Mfalme wa Chadema, Freeman Mbowe.

Tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema, Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya.

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge wakati Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizunguka Duniania kusema Awamu ya Tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau Dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Lengai Ole Sabaya.

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa CHADEMA na kwa hakika wamepata point tatu muhimu, Sabaya pengine ni Kijana, Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana damu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama Vijana wanaopitia hali ya ujana.

Alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu unalea kijana wako toka Utoto ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika.

Kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama kulea Mtoto yakutaka kuwa na subira hekima, busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?. Wapo viongozi vijana kama Sabaya awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana lakini Sabaya a.K.a Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai

Pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai, Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa.

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa, ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha Wananchi iwe kwa haki au kwa shari ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa.

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.

Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu. Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi Mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe chama au Mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi, tujitahidi kusimamia haki, Duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na Chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua, Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae, CHADEMA leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa, watu wa CHADEMA walipenda Sabaya aondolewe mbali pia wanataka RC Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Ally Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu.

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua kumuita majina wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli? Wana utu kweli? Je, wao hawatakufa?

Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani.

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany, Alexander Crummel, Edward Blyden, Dr. William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe, Marcus Garvey, Kwame Nkrumah, Haile Selassie, Robert Mugabe, Jomo Kenyatta, George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela, Oliver Tambo, Thomas Sankara, Patrice Lumumba and Dr. John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele.

Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi hata aondolewe nani bado legacy ya Mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

- Bachelor of Business Administration in International Business.

- Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Umesoma makaratasi ila kichwani hamna kitu.
Unaposema chadema walitaka sabaya aondoke, kwa akili zako chama cha upinzani unategemea kiwaunge makada wa chama kinxani mkono?
Hapo hujatumia akili.
Swala la kufutwa legacy ya Jpm hilo limeshaanza kuanzia bungeni spika kushangaa ujenzi wa bandari ya bagamoyo iliyokataliwa na mwendazake.
Na juzi Prof Ndelichako kagongea msumari watoto waliopata mimba kuendelea ma masomo ambapo mwendazake alisema hawezi kusomesha wazazi.
Ni machache tu ktk mengi kwa muda mfupi tunaanza kuyafuta ktk hicho unachoita legacy.
 
1621044360373.png



🤣 🤣 🤣 🤣 😂😂😂😂😂😂😂

That train has left the station..............​

 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la Mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai kwa Mfalme wa Chadema, Freeman Mbowe.

Tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema, Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya.

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge wakati Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizunguka Duniania kusema Awamu ya Tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau Dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Lengai Ole Sabaya.

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa CHADEMA na kwa hakika wamepata point tatu muhimu, Sabaya pengine ni Kijana, Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana damu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama Vijana wanaopitia hali ya ujana.

Alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu unalea kijana wako toka Utoto ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika.

Kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama kulea Mtoto yakutaka kuwa na subira hekima, busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?. Wapo viongozi vijana kama Sabaya awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana lakini Sabaya a.K.a Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai

Pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai, Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa.

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa, ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha Wananchi iwe kwa haki au kwa shari ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa.

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.

Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu. Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi Mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe chama au Mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi, tujitahidi kusimamia haki, Duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na Chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua, Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae, CHADEMA leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa, watu wa CHADEMA walipenda Sabaya aondolewe mbali pia wanataka RC Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Ally Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu.

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua kumuita majina wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli? Wana utu kweli? Je, wao hawatakufa?

Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani.

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany, Alexander Crummel, Edward Blyden, Dr. William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe, Marcus Garvey, Kwame Nkrumah, Haile Selassie, Robert Mugabe, Jomo Kenyatta, George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela, Oliver Tambo, Thomas Sankara, Patrice Lumumba and Dr. John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele.

Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi hata aondolewe nani bado legacy ya Mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

- Bachelor of Business Administration in International Business.

- Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Maneno Mengi,lakini sijaona la maana,Chadema ni chama Cha siasa,na uenyekiti wa Mbowe unafata Katiba ya Chadema,sasa nyie ccm shida yenu nini!
Yaani mambo yafanyike Chadema,kero wapate ccm!ajabu sana.
Mzee Sita alikuwa Mbunge wa urambo kwa miaka Mingi,nenda kaone kama kuna kitu alifsnya,alipofariki,jimbo lake alipewa nani?Mke wake,kama ni ufalme upo kwenu,
Mgimwa alipofariki,jimbo akampa mtoto wake,
Kikwete alipoiacha chalinze,jimbo akachukua mtoto wake,huo ndio ufalme,
 
Leslie Mbena,

..achana na Ole Sabaya.

..unajichafua bure kwa kumtetea.

..siasa za sasa hivi zimebadilika, unajiharibia kuunga mkono vijana wahuni na wahalifu kama Ole Sabaya.
Anazidi kudhihirisha kuwa vijana wa kitanzania waluozaliwa miaka ya 80 na 90 wanafaa tu kuwa wapambe wa viongozi na kamwe hawafai kupewa uongozi hasa wakishapata vidigrii ndio kabisaa
 
Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

- Bachelor of Business Administration in International Business.

- Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.



Sasa Bro!!! Hali hii ndio una ka BA na ka MA afu unakuja kutuanikia hako ka BA na hako ka MA kako kakudesa hapa eti unatuwekea kabisa na namba ya simu na hizo pumba zako kweli !!!

Wewe ungekua na BSc. na MSc. Si ungepita na gari la matangazo nchi mzima wewe kututangazia, sasa hao wenye BSc. na MSc. Je wasemeje sasa kweli ushamba mzigo sana

Cha ajabu una MA ya Leadership and Management afu unaandika utopolo wa aina hii kweli da!

Afu na wewe unajiita msomi eti umeweka na namba za simu hapo yani ndio upegiwe simu upewe wilaya ya Hai au

Mxiueszzz !!! Ndio vijana wasomi nyie da
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la Mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai kwa Mfalme wa Chadema, Freeman Mbowe.

Tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema, Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya.

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge wakati Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizunguka Duniania kusema Awamu ya Tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau Dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Lengai Ole Sabaya.

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa CHADEMA na kwa hakika wamepata point tatu muhimu, Sabaya pengine ni Kijana, Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana damu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama Vijana wanaopitia hali ya ujana.

Alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu unalea kijana wako toka Utoto ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika.

Kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama kulea Mtoto yakutaka kuwa na subira hekima, busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?. Wapo viongozi vijana kama Sabaya awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana lakini Sabaya a.K.a Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai

Pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai, Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa.

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa, ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha Wananchi iwe kwa haki au kwa shari ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa.

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.

Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu. Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi Mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe chama au Mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi, tujitahidi kusimamia haki, Duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na Chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua, Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae, CHADEMA leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa, watu wa CHADEMA walipenda Sabaya aondolewe mbali pia wanataka RC Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Ally Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu.

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua kumuita majina wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli? Wana utu kweli? Je, wao hawatakufa?

Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani.

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany, Alexander Crummel, Edward Blyden, Dr. William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe, Marcus Garvey, Kwame Nkrumah, Haile Selassie, Robert Mugabe, Jomo Kenyatta, George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela, Oliver Tambo, Thomas Sankara, Patrice Lumumba and Dr. John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele.

Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi hata aondolewe nani bado legacy ya Mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

- Bachelor of Business Administration in International Business.

- Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Una Masters lakini akili huna unapinga Demokrasia sasa ukipambana na mbona ukamtoa kwenye mkapata ushindi wa kishindo kama mliopata nini kimebadirika Tanzania?
 
YUKO WAPI MTEMI MWINGINE WA KUPAMBANA NA MBOWE!?

Leo 15:15hrs 14/05/2021

Sabaya anaonekana kufanya makosa kwa sababu ya aina za siasa za Arusha, ndio maana juzi kaongea Sabaya hapa Tanzania, akajibu Godbless Lema akiwa Canada, na sababu nyingine ni "spotlight" iliyokuwepo eneo lake la utawala ni eneo la Mtu maarufu ambapo jicho la kila Mtanzania na dunia lilikuwa pale Wilaya ya Hai kwa Mfalme wa Chadema, Freeman Mbowe.

Tuliona hata Mzee Museven akiwa Uganda jicho lake la kwanza lilikuwa Wilaya ya Hai kwa Mwenyekiti wa kudumu wa Chadema, Freeman Mbowe, lakini ni ukweli wapo wengi ambao uongozi wao kiutendaji na kimafanikio ya Awamu ya tano hawakuchangia sana kimaendeleo kuliko Sabaya.

Sabaya kaenda Wilaya ya Hai kama Mkuu wa Wilaya akifanya kazi za kibunge wakati Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizunguka Duniania kusema Awamu ya Tano isipewe misaada na itengwe na dunia, Freeman Mbowe akasahau Dunia itayotengwa ni pamoja na Wilaya yake ya Hai nae akafurahi kwa kuwa hakuwajali Wananchi wa Jimbo lake la Hai yeye Freeman Mbowe alikuwa na pesa ya Ubunge na hakuona taabu za Wananchi wa Hai aliyeziona taabu na shida za Wananchi wa Hai ni Lengai Ole Sabaya.

Sasa kumchuiulia hatua Sabaya ni sawa na kuwapa Credit awa CHADEMA na kwa hakika wamepata point tatu muhimu, Sabaya pengine ni Kijana, Hayati Rais John Pombe Magufuli alikuwa akisema awa Vijana damu inachemka na wanaendelea kukua aliwalea kama Vijana wanaopitia hali ya ujana.

Alitegemea wakifikia kwenye utu uzima watakuwa wameacha mambo ya ujana na kuongoza Wananchi kama watu wazima,kulea ni tabu unalea kijana wako toka Utoto ujana hadi utu uzima na utagundua akipita stage mbalimbali na kubadilika.

Kulea kunahitaji moyo wa Mzazi awe Baba au Mama kulea Mtoto yakutaka kuwa na subira hekima, busara na wakati mwingine kuangalia matendo ya mwanao yanaumiza wapinzani au ?. Wapo viongozi vijana kama Sabaya awa hawajaonekana kwa kuwa pengine Mikoa au Wilaya zao hazikuwa na camera sana lakini Sabaya a.K.a Mkuu wa Wilaya ya Taifa alifanya mambo makubwa kiuchumi kuiendeleza Wilaya ya Hai

Pia kumuondoa Mbunge aliyejigeuza Mbunge wa milele wa Jimbo la Hai, Sabaya aliiongoza Wilaya ya Hai kupiga kura ya hapana kwa Freeman Mbowe ambae kwa ujumla hakuna alilolifanya katika Wilaya ya Hai zaidi ya kujitetea amebeba agenda ya kitaifa.

Nikiwa kama mbobezi katika Uongozi labda niwaeleweshe tu, hakuna mwanasiasa mwenye kuzingatia sheria,haki wala utawala bora hapa duniani,iko hivyo ukiwa Mwanasiasa chini yako yatafanyika mambo ya ajabu hadi utashangaa na unaweza usihoji kwa sababu upo kwenye siasa, ndio maana mwendazake kavikwa kila aina ya shutuma ilhali hizo shutuma hata yeye mwenyewe alikuwa akizisikia katika siasa aliyokuwemo Mwanasiasa yeyote yule duniani lengo lake kuu kuridhisha kundi kubwa la kumuunga mkono kushughulikia jambo fulani linalowagusa na kuwakwamisha Wananchi iwe kwa haki au kwa shari ikiwezekana kuwabana Matajiri ili masikini wapate furaha na aweze kuwateka kisiasa.

Pili kutenda kuendana na mvumo wa upepo wa mahitaji ya kisiasa kwa wakati husika,Sasa safisha inayotumika ndiyo itakayochafua na kusisafishike uko mbeleni na watu watatamani mrejeo kwenye uchafu walioutoa lakini haitawezekana kwa kuwa uchafu utabadilika kuwa sumu kali dhidi yao, I'm not a Jewish prophet ila nimewaza kwa elimu yangu tu ya ubobezi katika Uongozi.

Wakati aliyejuu akibanwa kisiasa na walio chini wako tayari kumfurahisha aliyejuu. Sasa hapa katikati ndio kunatokea mgongani pindi aliyejuu atashindwa kuwaelewa waliochini na walio chini watashindwa kumuelewa aliyejuu,nini kitatokea!?

Siku hizi hamna mwenye hofu ya Mungu katika kutaka ndoto zake kuzitimiza kwenda juu kwenye uongozi Mtu yuko radhi kufanya jambo analojua lipo kinyume kabisa na haki hata mbele ya mwenyezi Mungu ili tu lifurahishe chama au Mtu katika siasa ama katika kukubarika kwake kwenye uteuzi, tujitahidi kusimamia haki, Duniani tunapita tu na dalili zinaonesha tunaelekea mwisho kabisa ambapo mtawala wa fimbo ya chuma atakwenda kutawala kwa miaka 7 na kusababisha vita vya Armageddon ndipo Bwana Yesu atakaposhuka duniani kuja kuitawala dunia kwa miaka 1,000 katika utawala ambapo Simba atacheza na swala na Chui atakaa pamoja na mwanakondoo kwa undugu na upendo mkubwa.

Nimalizie kwa kusema Tanzania bado inahitaji watu wa kaliba la Hayati Edward Moringe Sokoine,na Hayati John Pombe Magufuli ili Taifa la Tanzania lipige hatua, Sabaya bado Kijana sana,bado tunaweza kumpika Sabaya tukapata jembe tunalohitaji kwa ajili ya maendeleo ya Taifa letu hapo baadae, CHADEMA leo hii wamefurahi sana kusimamishwa kwa Sabaya na watafurahi sana watu watatu wasiowapenda wakiondolewa, watu wa CHADEMA walipenda Sabaya aondolewe mbali pia wanataka RC Chalamila aondolewe sababu ya kushindwa kwa Sugu na kuna Ally Hapi sababu ya kushindwa kwa Msigwa hayo mengine ni kama kutafuta nongwa tu.

Pia kuna watu dhalimu waliojifanyaga miungu watu wakati chama kilipokuwa cha Wafanyabiashara awa wanataka kufuta legacy ya Hayati John Pombe Magufuli kwa kumchafua kumuita majina wengine wanaongea mambo hadi unajiuliza awa ni binadamu kweli? Wana utu kweli? Je, wao hawatakufa?

Watu awa ufahamu wao umewekwa giza wanasahau kuwa legacy haiondolewi kwa kumchafua Hayati bali Legacy ni kitu ambacho kipo na kitakuwepo kutokana na kazi aliyofanya mwenye legacy yake na ndio maana bado tunamkumbuka Hayati Julius Nyerere na Hayati Mzee Karume pamoja na kuwa hatuna watendaji wao madarakani.

Leo tunawakumbuka Pan Africanist Martin Delany, Alexander Crummel, Edward Blyden, Dr. William Du Bois,Dr Namdi Azikiwe, Marcus Garvey, Kwame Nkrumah, Haile Selassie, Robert Mugabe, Jomo Kenyatta, George Padmore, Julius Nyerere, Nelson Mandela, Oliver Tambo, Thomas Sankara, Patrice Lumumba and Dr. John Pombe Magufuli wao hawapo duniani lakini legacy yao ipo na itakuwepo milele.

Watu wanajisumbua sana, hata museme vipi hata aondolewe nani bado legacy ya Mtu aliyefanya makubwa kwa nchi hii itakuwepo tu kama ipo ipo tu na kama unajua unajua tu.

Nikiishia hapa, Mimi ni
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

- Bachelor of Business Administration in International Business.

- Master of Leadership and Management.

Recent Publication;-
-Assessment on the Effects of Micro-Financing on Poverty Reduction.
Umesomea ujinga na unadhihirisha ujinga wako mbele ya umma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom