Yuko wapi kijana mtanashati January Makamba?

Alipata ukaribu na JK sababu walikuwa wanaendana kwa hulka na hobbies zao...! Anzia siasa hata maono....! Sasa huyu aliekuja sasa hamkubali na hampendi sababu alikuwa anawabania enzi zile....na walikuwa hawampendi! Sasa abakie tu waziri na ahakikishe masikio yasizidi kichwa!atulizane baada 10yrs aje aombe tena maana itakuwa zamu yao....!!
 
Anachokifanya JANUARY m namuelewa nadhan ameamua kupunguza public attention ili ajijenge kwa ajili ya 2025...hatak kuwa maarufu sana ili iwe rahisi kuteuliwa 2025...
 
February marope akicheza vibaya na Ngosha anaisha kisiasa! Hana mizizi ya maana kwenye chama lakini na muona kama ana kiburi fulani hivi! Ngosha sio kwamba anahangaikia na wapinzani wake wa nje pia anamonitor nyendo za wapinzani wake ndani ya chama! Nadhani anajua ndio maana hata wizara aliyopewa sio ya kumfanya asikike sana! Akili kichwani
Mistari yako mi3 ya mwisho, huo ndio ukweli! Anazikwa mdogo mdogo. Magu akifanya usajili wa dirisha dogo, huyu akibaki ntaamini HIRIZI KIBOKO!
 
February marope akicheza vibaya na Ngosha anaisha kisiasa! Hana mizizi ya maana kwenye chama lakini na muona kama ana kiburi fulani hivi! Ngosha sio kwamba anahangaikia na wapinzani wake wa nje pia anamonitor nyendo za wapinzani wake ndani ya chama! Nadhani anajua ndio maana hata wizara aliyopewa sio ya kumfanya asikike sana! Akili kichwani
Wizara aliyopewa ni muhimu lakini kwake ni somo gumu kulielewa. Ilikuwa rahisi kupigania masrahi ya wasanii maana haihitaji shule, lakini hapo alipo, Dah! Itamchukuwa miaka 5 kabla hajaelewa tafsiri ya mazingira.
 
Kwani hata wale walioanza uwaziri kwa mbwembwe na kusimamisha watumishi kila uchao unawasikia tena, aah natania tu.Ila dhamira ya KWELI ya Hapa Kazi Tu anayo muasisi wa hii kauli mbiu tu na sisi akina Yohana lakini kule juu mhh mhh
Kwani muasisi wa hapa kazi tu ni nani?
 
Reliability verses Assert.
Baba verses Mwana
Ujuaji mwingi verses Mbele Giza
 
Watu mnamaneno... alikuwa mnyika haongei, tumeanza kwa January... haya endeleeni mkizinduka si tunasonga mbele...
 
Kwa uelewa wangu ni kwamba yeye ni waziri na nilitegemea nitamuona mikoani kama mawaziri wengine mfano waziri Mbarawa sasa yeye anawakilishwa na Naibu wake, yuko buzy ofisini au hapendi tu kutoka anaelekeza kazi au kuna kitu kingine nyuma ya pazia, mnijuze.
 
Watu mnamaneno... alikuwa mnyika haongei, tumeanza kwa January... haya endeleeni mkizinduka si tunasonga mbele...
AMEKURUPUKA KUKAA KIMYA SISI TULIPANGA KUWA KIMYA 2019 NAONA JUMA 2 KWENYE AZAM TV HATA LOWASA ANASEMA JK HAONEKANI HEWANI
 
..tangu Mange Kimambi atoe ile issue ya yule mzungu wa dada yake naona amekua kimya sana...inaonekana aliathirika sana kisaikoojia na issue ile...seems ameambiwa na wenzake aachane na siasa za maji taka....maana boss wake anaweza kumtumbua any time..kama aliweza kwa yule mtwanga maji aliyekuwa mshkaji wake hatoshindwa kumtosa mtu anayejibishina kwenye mitandao....
 
February marope akicheza vibaya na Ngosha anaisha kisiasa! Hana mizizi ya maana kwenye chama lakini na muona kama ana kiburi fulani hivi! Ngosha sio kwamba anahangaikia na wapinzani wake wa nje pia anamonitor nyendo za wapinzani wake ndani ya chama! Nadhani anajua ndio maana hata wizara aliyopewa sio ya kumfanya asikike sana! Akili kichwani
Yah Jamaa ni kama kafichwa hivi!
 


January ameamua kuondoka/kuchukua likizo kwenye social media zote na hali ya kisiasa kwa sasa inahitaji young voices kama zake. January ni dame changa na naamini kuwa kuna vijana wengi ambao wangependa kusoma na kumsikiza kwenye hafla na mikutano mbali mbali akizungumzia mambo mbalimbali na hususan hali ya kisiasa nchini. As things stand, this country is poised on the brink of a choice between the dangers of authoritarianism, tranny and its historic commitment to dissent. It is essential that the latter prevails. Lakini this can only work if the likes of you come out and speak out.

Tunakuomba Janauary jitokeze tupate maoni yako juu ya maendeleo na mustabkali wa nchi yetu hapa tulipo, tunakokwenda na athari zake kisiasa, kijamii na kiuchumi katika zama hizi za 1984.

Tafadhali January we need you now than ever. Vijana kama akina Aidan Eyakuze wamejitokeza na kutoa maoni yao, akina Zitto na wengine (japo sijaona vijana wanawake kama akina Maria Sarong na wengineo kujitokeza). The bottom line ni kuwa in this era of tyranny the likes of you keeping silent doesn't help this nation. Una demographic (the silent majority) kubwa sana yuma yako mkuu jitokeze ongea na wanafunzi vyuo vikuuu, tembelea media houses, do interviews, write think pieces bring back the good old idealistic January.
 
Back
Top Bottom